Nigger360
JF-Expert Member
- Oct 28, 2021
- 436
- 1,063
Muzki n uhun ukiamuua kuufanya kihun ,mzk n kz km kz zingine leo hii ukimwangalia dai n muzik embuu chek anavyokula maishaa,ttz watz tumeaminishwa sana kwenye elimu elimuUpo vizuri. Kitu ambacho wazazi wanakisahau kwa sasa ni kuendeleza kipaji cha mtoto.
Mtoto akiwa ana kipaji (ukiwemo mziki) mzazi kiendeleze. Wazazi wengine wanaogopa kuendeleza kipaji cha mtoto cha muziki. Eti muziki ni uhuni!. Muziki ni kazi kama kazi zingine!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app