Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,524
Unajua humu jf kuna watu wapo kwa ajili ya kukashifu wachangia na watoa maada? Acheni hivyo jamani jaribu kutumia busara unavyokuwa unajibu hoja na siyo kupondo.Kama wewe unamaisha mazuri ni yako na siyo kuwaona wajinga wenye shida. Najua mmejitambua wenye sifa za kijinga kama hizo.Badilikeni.