EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Una mipepo ya wivu na uchawi na hiyo mipepo ikutoke baada ya Yesu kufufuka.
Hicho kinachokuwasha chini ni minyoo tu ukitumia mabendazole kutatulia.Tuweke ya Tundu Lisu na Lema!
Hahahaaaa..... Umesharejea kutoka Malawi!Hicho kinachokuwasha chini ni minyoo tu ukitumia mabendazole kutatulia.
Hao watu wamefanya kazi hizo kwa malipo na siyo hisani!Huyu jamaa n nonsense kabsa ko uktaka tuweke Jina la baba yako hapo
Hao watu nao (Kijazi+Mfugale) wanamichango Yao katika ujenz wa taifa
Ila Kama umekeleka lete jna la baba yako au babu yako tuliweke
Uma uhakika na hili unalosema?Hawana historia yo yote ya kijamii wala ya kisayansi, ni watumishi wa umma kama wengine!
Ndiyo! Ni watumishi wa umma kama wengine tena kwa kulipwa mishahara minono. Hawaku-design wala kujenga hiyo miradi bali wamesimamia kitu ambacho hata wewe mhandisi ungeweza kukifanya kama ungepewa uzoefu na nafasi.Uma uhakika na hili unalosema?
Haya majina ya Kijazi na Mfugale ni ya kufyekelea mbali!
Nilikuambia njoo Tmk kwa Aziz Ali karibu na Ikweta utatukuta wasomali wengi tu.Hahahaaaa..... Umesharejea kutoka Malawi!
Ikiwa unaona hao hawafai basi tambua wengine pia wanaona uliona wanafaa hawafai. Hata wao watasema viitwe Dar es Salaam National Stadium, Dar es Salaam International Airport na Kigamboni Over Bridge.
Right and Left inategemea umesimamia wapi.
Kabisa, kuto kuleta fujo
Kijazi irudishwe Ubungo Interchange
Na mfugale irudie Tazara flyover
Ulishawahi kulala njaa kisa madaraja hayo yamepewa majina hayo?
Kama No.. Basi chuki sio nzuri fanya mambo mema au kitu hata mtaani kwenu wakipe kisima jina lako
Hakuna jina linalobadilishwa, wajenga ya kwao ndio wayaita hayo majina mapya, haya madaraja na fly over ni kumbukumbu za watumisha walioitendea mema Tz miongoni mwa watumishi wengi wachapakazi.
Kweli kabisa mkuu! Ni zao la ushikaji kwenye ofisi za umma
Wivu ukikomaa unazaa uchawi na ndipo unapoelekea...Haya majina ya Kijazi na Mfugale ni ya kufyekelea mbali!
Afadhali wangeliita Ngongo interchanges lingeleta maana.Haya majina ya Kijazi na Mfugale ni ya kufyekelea mbali!
Mungu amekunyima akili za kuwaza na kuwazua unataka sisi tukusaidieje?Wivu ukikomaa unazaa uchawi na ndipo unapoelekea...