kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,990
- 17,877
Hii nchi inaendeshwa kama mtu anayetembea kama amekatwa kichwa
Serikali ni uwakilishi wa wananchi! Na wananchi wanaamua kusalimisha uhuru wao na nguvu zao wanampa mtu au kikundi cha watu kisimame kwa niaba yao.
Mnamove kutoka state of nature na kuwa na kitu kinaitwa "social contract" ambapo ni makubaliano ya kukubali mtu flan au kikundi kiongoze kwa niaba ya wananchi wote.
Sasa hizi tozo asilimia 99.999 ya wananchi wanazipinga wewe kiongozi ni nani upingane na wananchi ambao wamekutuma?
Tuanzisheni kampeni ya kususia miamala naam tuanzisheni hii kampeni ya kususia miamala maana hii serikali haisikilizi kero za wananchi na malalamiko badala yake wanaziita kelele.
Kwanini kiongozi unakosa uchungu na wananchi?
Tuanze mgomo wa kimataifa wa kususia Tozo na makato na ianze tarehe 1 September
Wakuu tupeane mawazo ya kuanza kuanza kampeni ya kususia miamala ya simu yote kama hatua ya kupinga tozo
Tena ianze rasmi tarehe 1 September hizi siku tulizonazo ziwe ni za kuhamasishana kila mahali mtandaoni ili tuanze mwamko wa kupinga tozo kwa nguvu zote
Lengo ni kuanza mgomo na ususiaji wa miamala ya simu ifikapo tarehe 1 September ambapo tutaendelea hadi serikali isalimu amri
Najua kiwango cha miamala kikishuka lazima watasurrender tu ukicheka na nyani utavuna mabua wachaga wanasemaga "ukicheka na mjinga atakupasua jicho" tusiache serikali ya huyu ssh itupande kichwani
Huyu mama hawezi kubadilika na atazidi kutunyonya tu, amini nawaambia hana uchungu na sisi hapa, maana wenyewe mnajua hilo
Wakuu tupeane mawazo ili tuanze kampeni hii ya kitaifa!!
Serikali ni uwakilishi wa wananchi! Na wananchi wanaamua kusalimisha uhuru wao na nguvu zao wanampa mtu au kikundi cha watu kisimame kwa niaba yao.
Mnamove kutoka state of nature na kuwa na kitu kinaitwa "social contract" ambapo ni makubaliano ya kukubali mtu flan au kikundi kiongoze kwa niaba ya wananchi wote.
Sasa hizi tozo asilimia 99.999 ya wananchi wanazipinga wewe kiongozi ni nani upingane na wananchi ambao wamekutuma?
Tuanzisheni kampeni ya kususia miamala naam tuanzisheni hii kampeni ya kususia miamala maana hii serikali haisikilizi kero za wananchi na malalamiko badala yake wanaziita kelele.
Kwanini kiongozi unakosa uchungu na wananchi?
Tuanze mgomo wa kimataifa wa kususia Tozo na makato na ianze tarehe 1 September
Wakuu tupeane mawazo ya kuanza kuanza kampeni ya kususia miamala ya simu yote kama hatua ya kupinga tozo
Tena ianze rasmi tarehe 1 September hizi siku tulizonazo ziwe ni za kuhamasishana kila mahali mtandaoni ili tuanze mwamko wa kupinga tozo kwa nguvu zote
Lengo ni kuanza mgomo na ususiaji wa miamala ya simu ifikapo tarehe 1 September ambapo tutaendelea hadi serikali isalimu amri
Najua kiwango cha miamala kikishuka lazima watasurrender tu ukicheka na nyani utavuna mabua wachaga wanasemaga "ukicheka na mjinga atakupasua jicho" tusiache serikali ya huyu ssh itupande kichwani
Huyu mama hawezi kubadilika na atazidi kutunyonya tu, amini nawaambia hana uchungu na sisi hapa, maana wenyewe mnajua hilo
Wakuu tupeane mawazo ili tuanze kampeni hii ya kitaifa!!