Tuanzishe leseni kwa walevi Ili kulinda watoto chini ya miaka 18

Opportunity Cost

JF-Expert Member
Dec 10, 2020
9,034
6,899
Habari wakuu.

Kuna haja ya Kuanzisha leseni ya ulevi kwa mdaraja tofauti tofauti Ili kuwa chanzo cha mapato na kulinda watoto chini ya miaka 18.

Mfano wa leseni utakuwa kama hii hapa chini 👇👇

IMG-20210720-WA0000.jpg
 
Habari wakuu.

Kuna haja ya Kuanzisha leseni ya ulevi kwa mdaraja tofauti tofauti Ili kuwa chanzo cha mapato na kulinda watoto chini ya miaka 18.

Mfano wa leseni utakuwa kama hii hapa chini

View attachment 1860593
Leseni za udereva zimefeli.. Wengi wanaozimiliki hawana vigezo..
Na hiyo ya Zanzibar ni leseni kwa ajili ya kuuza vilevi sio leseni ya mtumiaji
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom