Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,443
- 4,384
Kwa maoni yangu tumemwacha dikteta afanye atakavyo, ili kuzuia hilo na kuzipa nguvu kampeni nyingine mathalani @FreeMaxenceMelo, @BringBackBen na @Justice4Lema, nashauri tuanzishe na hiyo harakati mpya, @DictatorMustFall...
Najua tukifanya hivi mateso kwa ndugu zetu hao yatazidi lakini what do we do, tukae kimya na kumtazama akiwala nyama mama zetu, baba zetu na watoto wetu? no, i think we have been too lenient on the dictator, time to stand up and fight him!
Najua tukifanya hivi mateso kwa ndugu zetu hao yatazidi lakini what do we do, tukae kimya na kumtazama akiwala nyama mama zetu, baba zetu na watoto wetu? no, i think we have been too lenient on the dictator, time to stand up and fight him!