mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,960
- 2,464
wakuu habari,
nina wazo moja tu siku ya leo... najua wengi wanaaccount zaidi ya social media moja... sasa katika kila account kila mtu aandike "RUDISHENI PESA ZA ESCROW ILI TUNUNUE MADAWA" au ujumbe wowote ambao tunaweza kuupata na kuupendekeza kwa pamoja... tuwashawishi marafiki na majirani na ndugu wenye acount iwe humu. iwe fb iwe twitter na kokote kunakoandikika... lazima tuwaonyeshe nguvu ya mitandaoilivyo.. kwa kufanya hivyo tutawashinikiza haata wabunge kuendelea kukomaa.
tufanye hivi kwa mapenzi mema kabisa kwa taifa letu, pata picha viongozi kesho wanaamka wanakuta kwenye kila social media kuna post moja tu.. "RUDISHENI PESA ZA ESCROW TUNUNUE MADAWA". Ni dhahili kabisa kuwa litawauma na litawapa shinikizo kabisaa.
tuhamashishe hili wakuu.
nina wazo moja tu siku ya leo... najua wengi wanaaccount zaidi ya social media moja... sasa katika kila account kila mtu aandike "RUDISHENI PESA ZA ESCROW ILI TUNUNUE MADAWA" au ujumbe wowote ambao tunaweza kuupata na kuupendekeza kwa pamoja... tuwashawishi marafiki na majirani na ndugu wenye acount iwe humu. iwe fb iwe twitter na kokote kunakoandikika... lazima tuwaonyeshe nguvu ya mitandaoilivyo.. kwa kufanya hivyo tutawashinikiza haata wabunge kuendelea kukomaa.
tufanye hivi kwa mapenzi mema kabisa kwa taifa letu, pata picha viongozi kesho wanaamka wanakuta kwenye kila social media kuna post moja tu.. "RUDISHENI PESA ZA ESCROW TUNUNUE MADAWA". Ni dhahili kabisa kuwa litawauma na litawapa shinikizo kabisaa.
tuhamashishe hili wakuu.