Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Nimemsikiza kova akilamba miguu ya mafisadi kwa mtindo wa "mtumikie kafiri................"
Hajui uchungu tulio nao kwa kuporwa haki yetu.
Mimi nina mfano halisi: Makongolo Mahanga siyo mbunge halali wa Segerea, na hii kitu inanikera sana kila nikikumbuka.
Tumfanye nini?
Tusishirikiane naye kwa vyovyote katika mradi wake wa kifisadi wa Polisi Jamii.
Hapo tutakuwa tumemmaliza.
Au munaonaje?
Bila jino kwa jino hawa hawatakoma.
Hajui uchungu tulio nao kwa kuporwa haki yetu.
Mimi nina mfano halisi: Makongolo Mahanga siyo mbunge halali wa Segerea, na hii kitu inanikera sana kila nikikumbuka.
Tumfanye nini?
Tusishirikiane naye kwa vyovyote katika mradi wake wa kifisadi wa Polisi Jamii.
Hapo tutakuwa tumemmaliza.
Au munaonaje?
Bila jino kwa jino hawa hawatakoma.