Elections 2010 Tuanze na Kova: Tusishirikiane Naye Kweye Polisi Jamii

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Nimemsikiza kova akilamba miguu ya mafisadi kwa mtindo wa "mtumikie kafiri................"

Hajui uchungu tulio nao kwa kuporwa haki yetu.

Mimi nina mfano halisi: Makongolo Mahanga siyo mbunge halali wa Segerea, na hii kitu inanikera sana kila nikikumbuka.

Tumfanye nini?

Tusishirikiane naye kwa vyovyote katika mradi wake wa kifisadi wa Polisi Jamii.

Hapo tutakuwa tumemmaliza.

Au munaonaje?

Bila jino kwa jino hawa hawatakoma.
 
Nimemsikiza kova akilamba miguu ya mafisadi kwa mtindo wa "mtumikie kafiri................"

Hajui uchungu tulio nao kwa kuporwa haki yetu.

Mimi nina mfano halisi: Makongolo Mahanga siyo mbunge halali wa Segerea, na hii kitu inanikera sana kila nikikumbuka.

Tumfanye nini?

Tusishirikiane naye kwa vyovyote katika Polisi Jamii.

Hapo tutakuwa tumemmaliza.

Au munaonaje?

Bila jino kwa jino hawa hawatakoma.

Hilo jambo hata mimi nakaribia kulikubali ingawa bado naendelea kulitafakari kwa kina.
 
Nimemsikiza kova akilamba miguu ya mafisadi kwa mtindo wa "mtumikie kafiri................"

Hajui uchungu tulio nao kwa kuporwa haki yetu.

Mimi nina mfano halisi: Makongolo Mahanga siyo mbunge halali wa Segerea, na hii kitu inanikera sana kila nikikumbuka.

Tumfanye nini?

Tusishirikiane naye kwa vyovyote katika Polisi Jamii.

Hapo tutakuwa tumemmaliza.

Au munaonaje?

Bila jino kwa jino hawa hawatakoma.

SASA HAPO tunajikomoa wenyewe au kova vibaka watakapotuvamia?
lets come up with intelligent ideas za kiuokomozi na sio hoja za kitoto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom