Tuanze na hoja ya kuondoa kinga kwa mihimili yote

Mtu kama Ndugai amezidi kuwehuka kwasababu tu mwendazake amemtungia sheria ya kumpa kinga dhidi ya jinai zote anazofanya akiwa spika.
 
Huo mswada unaupeleka kwenye lile bunge feki lililojaa kijani, na hata wale wengine wasiovaa kijani nao ni kijani tu vichwani, huo muswada hautapita.
 
Back
Top Bottom