😂😂😂😂😂😂Angalia kumawasapu, kumatwita yote yanasema yanga imeingizwa goli moya na zesco, mimi nawambia mashabiki yangu kwao tunaingiza goli hizimbili.
AiseeeeeMikia roho zinaumaaaa..MO Dewji “malengo yetu kufika nusu fainali”kumbe mpaka matajiri wanaota ndoto za mchana