Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Kutokana na kukubalika kwa Dr.Slaa na sera za chama chetu, Wazee wa Mbezi Juu tukishirikiana na vijana tuna jenga tawi la chama chetu.. Pia tutachukua kadi za uanachama wa wa Chadema. Tunategemea kumwalika Dr.Slaa kuja kulizindua.