frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,337
Kwa style hii, watu wamekalia siasa tuuuu, tazama hizi picha uone mambo ya msingi ambayo kama watanzania tunapaswa kuyasemea kwa watawala hili wananchi wawe na maisha bora
kwani sasa Tanzania
lingine ni hili, mpaka inatia huruma na miCCM
Hila hii kiboko, tuombe uzima..
Watavuuka tuuuuuuuuuuu najua.
kama tukirudi juu kupigania hayo.
kwani sasa Tanzania
- kodi ipo juu sana huduma kidogo sanaa kwa wananchi (makusanyo mengine kulipana posho, wizi serikarini, n.k)
- wizi serikarini ni mkubwa sanaaa
- umeme umepanda juu, tumekaa kimya
- maji hakuna na yakitoka ni mara 2 kwa wiki, bill inakuja na flat rate ya majitaka 12,000/=
- vywakula vimepanda, hakuna wakusema
- mishahara ndio midogo sanaaaaaaa.
- tuzungumze haya kwanza, maCCM yanaleta mitufuano kwenye vywama ili wananchi tusahau haya juu......
lingine ni hili, mpaka inatia huruma na miCCM
Hila hii kiboko, tuombe uzima..
Watavuuka tuuuuuuuuuuu najua.
kama tukirudi juu kupigania hayo.