Tuangalie hii kiundani huenda ikawa kweli au si kweli kuhusu Nelson Mandela

Jan 19, 2020
29
38
Kuna Habari kama Sio stori inasomeka kama ifuatavyo

Huyu Mandela aliyeiongoza South Africa alikuwa Feki alitengenezwa na Makaburu, Makaburu walimuua Mandela halisi halafu Wakamtengeza wa kwao ili awe Kibaraka wao hapo SA

Watu wanauliza Kwamba iweje Mandela aliyefungwa miaka 27 Jela halafu akatoka na kuwasamehe Mabeberu?

Wazungu huwa hawapendi Viongozi wa Africa wenye Misimamo mfano hawakumpenda Mugabe, Gaddaf nk lakini walimpenda Mandela na Wanamsifu Mandela kama Kiongozi bora Afrika wanampa sifa ata ambazo hapaswi kupewa.

Mandela halisi aliuawa Tarehe 8/5/ 1985 akiwa na miaka 67 ndio maana South Africa kuna sherehe inaitwa Dkk 67 za Mandela. Baada ya hapo Makaburu wakamtengeza Mandela wao

Mandela alipoingia jela alikuwa na Kidoti upande wa kulia wa Pua lakini alipotoka alikuwa na Kidoti Upande wa Kushoto.

Baada ya Mandela kutoka Jela Winnie Mandela hakutaka kuendelea kuwa Kimapenzi na Mandela Feki maana Mchongo mzima aliujua kwa hiyo ikatengezwa Zengwe kimakubaliano kwamba amechepuka halafu Mandela akapata hasira akampa Taraka.

Mandela halisi alifungwa Jela baada ya Kutaka kuingiza Askari Msituni ili kupambana Kuwaondoa Makaburu South Africa hapo ndio Makaburu wakamdaka na Kumfunga yaani Mandela lengo lilikuwa kumuondoa kwa Mtutu Mkaburu South Afrika arudi kwao.

Lakini huyu Mandela Feki alivyotoka Jela akaja na Sera za Amani kupinga Ubaguzi kwamba Watu Weusi Wasiwabugue Makaburu na Makaburu Wasiwabague Weusi baada ya Hapo Wazungu wakamkabidhi Tuzo ya Amani. Akapewa Uraisi wa South Africa. Wazungu wakampa Sifa Duniani kuwa ni Kiongozi bora Afrika na mpaka leo huyu Mandela kibaraka wao huyu Duniani kote anatambulika kama hero wa Africa.

Jiulize Mandela alikuwa Kiongozi bora Afrika kwa lipi? Kwa kuipatia Uhuru South Africa au kisa kukaa jela kwa kile wanachodai miaka 27?? Nyerere amezisaidia nchi zaidi ya 10 kupata Uhuru lkn haheshimiki lakin Mandela wao Feki anaheshimika kisa kuhubiri Wazungu kutobaguliwa wakija Afrika lkn si tukienda kwao tunabaguliwa.

Huyo Mandela Feki jina lake halisi ni Gibson Makanda

Naombeni Kujuzwa Zaidi.
 
Duh story zingine bwana! Any way ngoja nilale nitafuatilia kesho maana now niko na usingizi.
 
Kuna Habari kama Sio stori inasomeka kama ifuatavyo

Huyu Mandela aliyeiongoza South Africa alikuwa Feki alitengenezwa na Makaburu, Makaburu walimuua Mandela halisi halafu Wakamtengeza wa kwao ili awe Kibaraka wao hapo SA

Watu wanauliza Kwamba iweje Mandela aliyefungwa miaka 27 Jela halafu akatoka na kuwasamehe Mabeberu?

Wazungu huwa hawapendi Viongozi wa AfriKa wenye Misimamo mfano hawakumpenda Mugabe, Gaddaf nk lakini walimpenda Mandela na Wanamsifu Mandela kama Kiongozi bora Afrika wanampa sifa ata ambazo hapaswi kupewa.

Mandela halisi aliuawa Tarehe 8/5/ 1985 akiwa na miaka 67 ndio maana South Africa kuna sherehe inaitwa Dkk 67 za Mandela. Baada ya hapo Makaburu wakamtengeza Mandela wao

Mandela alipoingia jela alikuwa na Kidoti upande wa kulia wa Pua lakini alipotoka alikuwa na Kidoti Upande wa Kushoto.

Baada ya Mandela kutoka Jela Winnie Mandela hakutaka kuendelea kuwa Kimapenzi na Mandela Feki maana Mchongo mzima aliujua kwa hiyo ikatengezwa Zengwe kimakubaliano kwamba amechepuka halafu Mandela akapata hasira akampa Taraka.

Mandela halisi alifungwa Jela baada ya Kutaka kuingiza Askari Msituni ili kupambana Kuwaondoa Makaburu South Africa hapo ndio Makaburu wakamdaka na Kumfunga yaani Mandela lengo lilikuwa kumuondoa kwa Mtutu Mkaburu South Afrika arudi kwao.

Lakini huyu Mandela Feki alivyotoka Jela akaja na Sera za Amani kupinga Ubaguzi kwamba Watu Weusi Wasiwabugue Makaburu na Makaburu Wasiwabague Weusi baada ya Hapo Wazungu wakamkabidhi Tuzo ya Amani. Akapewa Uraisi wa South Africa. Wazungu wakampa Sifa Duniani kuwa ni Kiongozi bora Afrika na mpaka leo huyu Mandela kibaraka wao huyu Duniani kote anatambulika kama hero wa Africa.

Jiulize Mandela alikuwa Kiongozi bora Afrika kwa lipi? Kwa kuipatia Uhuru South Africa au kisa kukaa jela kwa kile wanachodai miaka 27?? Nyerere amezisaidia nchi zaidi ya 10 kupata Uhuru lkn haheshimiki lakin Mandela wao Feki anaheshimika kisa kuhubiri Wazungu kutobaguliwa wakija Afrika lkn si tukienda kwao tunabaguliwa.

Huyo Mandela Feki jina lake halisi ni Gibson Makanda

Naombeni Kujuzwa Zaidi.
 
Ngoja waje wenye uelewa.hii story niliwahi kuisikia pia
 
Is it a conspiracy theory?

Anyways....

Mosi, pamoja na kusema kuwa Mandela alipewa sifa zote na wazungu...ila ni haohao "marekani" iliyomuingiza katika kundi la "MAGAIDI" hata baada ya yeye kuwa Rais wa Afrika kusini huru.....

Pili ,binadamu huweza kubadilisha misimamo mikali kutokana na UMRI ,KUKUA KIFIKRA NA KUJITAFAKARI VYEMA BINAFSI ,KUUTAZAMA ULIMWENGU KWA UTULIVU MKUBWA NA KUWA NA "POSITIVE MIND RATHER THAN NEGATIVITIES TU" ....

Hayati Mandela aliishi jela miaka mingi....mule wako wanaopata bahati ya kutulia na kuweza "kusoma vitabu" ama "kuandika vitabu"...haya HUTANUA FIKRA NA UONI JUU YA ULIMWENGU TULIOKO.....

Ndio maana Zanzibar ,gereza huitwa "CHUO CHA MAFUNZO..."

#DuniaSiMbayaIlaBaadhiYaWanadamu
#YetzerHaTov
#ShavuaTov
 
Stori za vijiweni hizi tena vijiwe vya mabaraza ya wetoto.

Nakumbuka enzi zile watoto tukiongopeana kua Kawawa alienda UN na Mwalimu Nyerere, eti wakati wa chai Mzee Kawawa kila akimaliza akawa hafuniki kikombe na jamaa wakawa wanamjazia tu hadi pale Mwalimu alipomwambia kwa kiswahili"Rashidi funika kikombe watakuua kwa chai wenzio" 🤣🤣🤣
 
Mandela alikuwa na wakina Oliver Tambo,Ramaphosa,Mbeki,Zuma,Joe Slove,Walter Sesulu huko jela hakuwa peke yake tatizo lenu mnadhani aliefungwa jela ni Mandela tuu ila walitofatiana kutoka huko Robben Island na wengine walifia jela na wengine waliuawa huku huku nje kama Dr Stive Biko,Slove na wengineo ila Mandela anaonekana shujaa kwa hiyo vita iliokuwa na makamanda waliojitoa walikuwa wengi.

De Clark alipoona kelele nyingi ilibidi wawe wanamtoa Mandela na kukubaliana mazingira ya wao wakichukua Nchi isiwe visasi tena na vikao vyao vilikua vinafanyika Campsbay hotel na ndio maana waliposhinda waliunda Tume ya upatanishi na kusameheana na kingine asigusie kuhusu Ardhi yupo mwanasiasa aliekua jela ila alikua tofauti na ANC alikuwa anapinga kuendelea ardhi kuwa chini ya kaburu walimuua kwa risasi mwaka 1993 kabla hata Uchaguzi maana yeye ndie alikua na sera za kuwakataa makaburu.

kuhusu sera ya ardhi wazi wazi kama anavyofanya Malema Wazee wa ANC wanasema Mandela aliwageuka kuhusu sera ya ardhi ila useme Mandela alitengenezwa wakati mke wake muda wote alikua anashinda jela na alipotoka kuja kuambiwa alikua anacheza na Wakili wa ANC mpaka kwenye ofisi za Chama chao alimuacha...
 
Back
Top Bottom