tuandike mazuri ya ballali kwa tanzania

Mtu wa Pwani

JF-Expert Member
Dec 26, 2006
4,184
671
wengi wetu ni kiwa mimi ni mmoja wapo simjui vyema Marehemu aliekuwa Gavana wa nchi yetu Tanzania.

kwa mara ya kwanza kumsikia na kuwa na intention ya kumsikiliza ni pale wimbi la wizi wa fedha lilipoibuka BOT.

nnasikia amefanya kazi sehemu mbali mbali kwa ufanisi zaidi, bila ya kuelewa ufanisi huo.

kwa sasa ameacha vitendawili vingi ni Fisadi si Fisadi?


ila ningependa kwa kuweka historia wale wenye kujua utendaji wake historia yake ya maisha na kazi tokea alivyotokea hadi mwisho wake atusaidie ili tumuelewe.

nnaomba hili kwa nia safi.

maana wengi tumejifunga vibwebwe na kucheza mziki tusioujua.

ni hatari lakini ndio kawaida ya baadhi ya watu kufata mdundo bila ya kufata step za ngoma yenyewe.

nnaamini nimeeleweka
 
naam haya ndio yalionukuliwa na mwandishi huyu kwa mmoja wa jamaa zake marehemu na yeye alimnukuu marehemu

"Yeye mwenyewe ndiye aliyeamua azikwe huku Washington. Siku zote amekuwa akitueleza namna alivyokuwa akifadhaishwa sana kutokana na kuchafuliwa kwa jina lake, hata baada ya kuitumikia nchi yake kwa juhudi kubwa, moyo mkunjufu na kwa uadilifu wa hali ya juu.

"Alitueleza hapa kwamba hajapata kuiibia nchi yake hata senti moja. Hapo ndipo aliposema akifa angetaka azikwe huku huku Washington na si nyumbani, ambako alihusishwa na kila aina ya tuhuma," alisema mwanafamilia huyo ambaye hakupenda kutajwa jina gazetini, akisema yeye hakuwa msemaji.

Mwanafamilia huyo alisema kwamba, katika mazishi yake, Ballali atazikwa bila ya kuwapo mama yake mzazi, aliyepo hapa nchini, ingawa atasindikizwa na dada zake wawili ambao walikwenda kumjulia hali huko Washington hivi karibuni.

http://www.freemedia.co.tz/daima/2008/5/22/habari1.php


nnaamini tukimuelewa vyema itakuwa rahisi kuunganisha nukta na kupata taswira kamili
 
Andika wewe. Sisi wengine htuna mazuri kwa mtu mshenzi kama huyu. Huyu ni sawa na jirani yako anayemficha jambazi anayekuja usiku kuvunja nyumba yako na kuua familia yako yote. Utaandika mazuri gani kwa kifo jirani cha mtu kama huyo? Utashukuru mungu amekufa.
Amewasaidia CCM kuiba hela, kwa nini tumwandike vizuri? Shera za makosa ya jinai zipo wazi, anayemsaidia mtu kutenda kosa na yeye ni mkosa kama aliyemsaidia.
Kwa kuwa yeye aliwasaidia CCM kula pesa za nchi hakuna sabababu ya kuonewa huruma.
Kwanza amekufa kifo kizuri sana. Kafia majuu!!! Ilibidi apigwe risasi uwanja wa taifa mpya halafu maiti yake ikatupwe baharini nje ya mpaka wa Tanzania ili aondoke a laana zake.
Hata hawa Kina chenge ,R. Aziz na wengine wanastahili kuuawa kama tunavyowaua vibaka. na maiti zao ziliwe na nyangumi huko kwenye high seas.
Mijizi ya CCM
 
Andika wewe. Sisi wengine htuna mazuri kwa mtu mshenzi kama huyu. Huyu ni sawa na jirani yako anayemficha jambazi anayekuja usiku kuvunja nyumba yako na kuua familia yako yote. Utaandika mazuri gani kwa kifo jirani cha mtu kama huyo? Utashukuru mungu amekufa.
Amewasaidia CCM kuiba hela, kwa nini tumwandike vizuri? Shera za makosa ya jinai zipo wazi, anayemsaidia mtu kutenda kosa na yeye ni mkosa kama aliyemsaidia.
Kwa kuwa yeye aliwasaidia CCM kula pesa za nchi hakuna sabababu ya kuonewa huruma.
Kwanza amekufa kifo kizuri sana. Kafia majuu!!! Ilibidi apigwe risasi uwanja wa taifa mpya halafu maiti yake ikatupwe baharini nje ya mpaka wa Tanzania ili aondoke a laana zake.
Hata hawa Kina chenge ,R. Aziz na wengine wanastahili kuuawa kama tunavyowaua vibaka. na maiti zao ziliwe na nyangumi huko kwenye high seas.
Mijizi ya CCM

una ushahidi mkuu na unayoyasema au ndio tufate mkumbo?

kiingiacho mjini halali​
 
wengi wetu ni kiwa mimi ni mmoja wapo simjui vyema Marehemu aliekuwa Gavana wa nchi yetu Tanzania.

kwa mara ya kwanza kumsikia na kuwa na intention ya kumsikiliza ni pale wimbi la wizi wa fedha lilipoibuka BOT.

nnasikia amefanya kazi sehemu mbali mbali kwa ufanisi zaidi, bila ya kuelewa ufanisi huo.

kwa sasa ameacha vitendawili vingi ni Fisadi si Fisadi?


ila ningependa kwa kuweka historia wale wenye kujua utendaji wake historia yake ya maisha na kazi tokea alivyotokea hadi mwisho wake atusaidie ili tumuelewe.

nnaomba hili kwa nia safi.

maana wengi tumejifunga vibwebwe na kucheza mziki tusioujua.

ni hatari lakini ndio kawaida ya baadhi ya watu kufata mdundo bila ya kufata step za ngoma yenyewe.

nnaamini nimeeleweka

Mtu wa Pwani,

Wengine huwa hatutukani hapa JF lakini kwa hili tunakaribia boiling point, usishangae tukianzia kutumia F*** word kuelezea upumbavu wa Ballali.

Katumia miezi karibu 9 akiendeleza usanii wake juu ya Watanzania kwa cost ya watoto na akina mama.

Unataka mazuri gani kwa watu kama yeye?

Alikuwa na muda mrefu wa kumkumbuka mungu na kutoka clean, lakini yeye kajifungia huko
USA na kuwalinda mafisadi kwa nguvu zote.

Si ajabu hata sasa yuko visiwani huko na whisky yake anatucheka Watanzania.
 
nimeanza kukumbuka nyimbo ya bob Marley


kama sikosei inasema

mtu akifanya mema elfu moja hakuna anaekumbuka lakini itokee ufanye kosa moja hakuna ataesahau


haya ndio nnayoyashuhudia, ameanza kazi tokea 1998 ameikuta tanzania ikoje jee mchango wake ukoje na huko alikokuwepo mchango wake ukoje?

yeye anatuhumiwa tu kwa ubadhirifu lakini hakuna aliethibitisha wala kupewa nafasi ya kujitetea. sitaki niseme kuwa hahusiki, sitaki niseme yeye ni msafi la sina maana hio.

maana yangu kuu tuweke balance tuandike vyema ili tumjue na hii ndio itasaidia kuweza kufikia maamuzi mema.?


au tumekuwa wananchi wa nchi ya kusadikika kuamini kila linalosemwa na baadhi ya watu bila ya kupingwa? nnaamini aliesoma kile kitabu atanielewa vyema

maana Karama yaliposomwa mashtaka yake wengi walisema msiba wa kujitakia hauambiwi pole lakini ukweli ulipokuwa bayana kila mtu alioona kuwa Karama hakuwa na makosa.


nnaomba na kusisitiza tuweke historia yake wazi, kazaliwa wapi kasoma wapi, ytabia zake alipokuwa masomoni na mengineo hadi tufike hapa tulipofika nnaamini tukifanya hivyo tutajua kutofautisha baina ya tui na maziwa
 
ni kweli ukifanya mema hatukumbuki ila ukifanya baya moja linakumbukwa! ni juu yako kuyalinda mema unayofanya ili yasitiwe mawaa na uchafu utakaofanya, balali alikuwa msomi mahiri hakuna ubishi, mchumi mashuhuri hakuna ubishi, mchapakzi wa kujitegemewa hakuna ubishi, na kwamba alikuwa zumbukuku wa kutupwa kiasi cha kudanganywa na akina Rostam azizi wakachota hazina ya taifa mabilioni kwa ajili ya kampeni za ccm HILO NALO LINA UBISHI?
 
Tanzania: Relatives Cry Foul Over Demise

The Citizen (Dar es Salaam)
22 May 2008
Posted to the web 22 May 2008
Mkinga Mkinga

Relatives of the late Daudi Ballali are crying foul over the death of the former Bank of Tanzania (BoT) governor.

However, a prominent city lawyer and Musoma rural MP, Mr Nimrod Mkono, is blaming the press for driving him out of the country.

Mr Ballali's younger brother, who spoke to The Citizen yesterday in Dar es Salaam, said the family received the news with shock as they had been assured of his steady recovery.

"I'm crying for my beloved brother who has been killed, but God knows," he said while confirming that the Dar es Salaam relatives were informed about the death on Monday.

He blamed local authorities, saying Mr Ballali's involvement in government business was to blame for his early demise.

The relative, who preferred to remain anonymous, said his brother has suffered bad fate to allegedly safeguard selfish interests of those in positions of authority.


He, however, could not give clear reasons why he felt the government was to blame for Mr Ballali's death.

He suggested that, just as it has been widely rumored since the former governor went to hospital, he could have been poisoned to hide information about the massive Sh133 billion External Payments Arrears Account (EPA) and other scandals at BoT.

He said his brother would have strived to clear his name against the various corruption allegations directed at him. "He was confident he would clear his name of accusations leveled against him before the public."

Yesterday Mr Ballali's successor at the BoT, Prof Beno Ndulu, issued a statement confirming the death of the former governor. The statement revealed that Mr Ballali died on Friday in Boston, USA.

The bank received the sad information on Tuesday night.

"We at the bank join the late Mr Ballali's family in mourning his death and pray to God that his soul may rest in eternal peace," Prof Ndulu said.

According to him, the deceased served the bank as its governor from 14th July, 1998 to 8th January, 2008.

The central bank was not able to explain what caused the death.

Mr Mkono, who was early in February reported by our sister paper, Mwananchi, to have visited Ballali at a hospital in Boston, said his death was sad.

He said if he was asked to blame anybody on it, he would mention the press for accelerating it.

"If you shout on a thief and he starts running, and at the end gets beaten to death, we won't blame those who killed him, but the ones who shouted that he was a thief," he said.

He said the media has been shouting on several scams from BoT which might have caused his death.
 
Maanayake hasa ni nini kuandika mazuri?

Kilicho cha muhimimu ni kuandika ukweli!

Kama ukweli wenyewe uta tafsirika kama ni ..Mazuri.. but it will remains to be The truth!

Kama ukweli wenyewe uta tafsirika kwa wengine kama... sio mazuri... wel n good ..bado utabaki kuwa ndio ukweli!

Nafikiri ni muda muafaka kwa watanzania kupenda ukweli na kuusimamia kuliko chochote kingine.

Ni kweli kuwa nchi yetu insingefikia hapa ilipo kama hilo lingekuwa limezingatiwa.

Vinginevyo ni unafiki na malipo yake sio mazuri hata kidogo..Tuamke tuache ujinga usiokuwa walazima..!

AU?
Mungu ibariki Tz.
 
wengi wetu ni kiwa mimi ni mmoja wapo simjui vyema Marehemu aliekuwa Gavana wa nchi yetu Tanzania.

kwa mara ya kwanza kumsikia na kuwa na intention ya kumsikiliza ni pale wimbi la wizi wa fedha lilipoibuka BOT.

nnasikia amefanya kazi sehemu mbali mbali kwa ufanisi zaidi, bila ya kuelewa ufanisi huo.

kwa sasa ameacha vitendawili vingi ni Fisadi si Fisadi?


ila ningependa kwa kuweka historia wale wenye kujua utendaji wake historia yake ya maisha na kazi tokea alivyotokea hadi mwisho wake atusaidie ili tumuelewe.

nnaomba hili kwa nia safi.

maana wengi tumejifunga vibwebwe na kucheza mziki tusioujua.

ni hatari lakini ndio kawaida ya baadhi ya watu kufata mdundo bila ya kufata step za ngoma yenyewe.

nnaamini nimeeleweka

Mkuu wangu Mtu wa Pwani,

Ni vyema ukianza wewe kuandika hayo mazuri na wengine watafuata. Je mtu utaandika mazuri ambayo huyajui? Kama kuna mtu anajua mazuri kwa nini yeye asiyaweke hapa badala ya kusubiria wengine kuyaweka?
 
Mkuu wangu Mtu wa Pwani,

Ni vyema ukianza wewe kuandika hayo mazuri na wengine watafuata. Je mtu utaandika mazuri ambayo huyajui? Kama kuna mtu anajua mazuri kwa nini yeye asiyaweke hapa badala ya kusubiria wengine kuyaweka?

mkuu ningeyajua ningeyaweka, ila nnasikia sikia mengi na hapa wengi tungependa kujua ukweli sio kupigiwa muluzi tukawa tunalewa lewa vichwa
 
wengi wetu ni kiwa mimi ni mmoja wapo simjui vyema Marehemu aliekuwa Gavana wa nchi yetu Tanzania.

kwa mara ya kwanza kumsikia na kuwa na intention ya kumsikiliza ni pale wimbi la wizi wa fedha lilipoibuka BOT.

nnasikia amefanya kazi sehemu mbali mbali kwa ufanisi zaidi, bila ya kuelewa ufanisi huo.

kwa sasa ameacha vitendawili vingi ni Fisadi si Fisadi?


ila ningependa kwa kuweka historia wale wenye kujua utendaji wake historia yake ya maisha na kazi tokea alivyotokea hadi mwisho wake atusaidie ili tumuelewe.

nnaomba hili kwa nia safi.

maana wengi tumejifunga vibwebwe na kucheza mziki tusioujua.

ni hatari lakini ndio kawaida ya baadhi ya watu kufata mdundo bila ya kufata step za ngoma yenyewe.

nnaamini nimeeleweka

mie kubwa ninalojua ni kufungua BRANCH ya BoT kule znz,ni moja kati ya majengo mazuri sana kimajenzi etc.inasemekana alikuwa na nia ajenge kijiji cha mayatima kule nyumbani kwetu MACHO MANNE PEMBA,plot na engineer alikuwa ameshatafuta.
nitamkumbuka kwani ingawa udini wake haujulikani na alikuwa hapendi kuulizwa suala hilo,lakini tokea amekuwa gavana kumi la mwisho la kila ramadhan tulikuwa tunaftar naye pale msikiti mkubwa wa chake chake.
mungu amlaze mahali pema.
 
nitamkumbuka kwani ingawa udini wake haujulikani na alikuwa hapendi kuulizwa suala hilo,lakini tokea amekuwa gavana kumi la mwisho la kila ramadhan tulikuwa tunaftar naye pale msikiti mkubwa wa chake chake.
mungu amlaze mahali pema.
Kheeeee heeeee heeeee..Eeh!
 
Haya ndio matatizo yanayotukwamisha tuandike mazuri gani ,hivi wewe hutambui kuwa mabaya yanaficha mazuri ndio maana mahesabu ya Jehannamu na Peponi yanaweza kukutatiza na ukajiona unaingia peponi.
Embu yaangalie Jehannam 1=1
Peponi 1= 10
ikiwa 1=1x
1=10x
hivyo x ni sawasawa na nini ?
1=1/10 au sivyo zidisha kwa kumi kila upande utapata 1=10 ,hizo hesabu zinaweza zikakuchengua ikiwa una akili fiinyu ya kuchanganua kwa kina na kuona undani wa hesabu hizo.
Ndio maana wale wa vijijini waziri au mbunge akitimliwa kwa ufisadi bado wanamtandikia zulia na kumpokea kwa hoihoi na vifijo ,hapa utaona haipatikani tofauti ya wewe unaedai tuandike mazuri ya Balali na wale wa vijijini.
Sio unakurupuka tu unapooulizwa kilo moja ya Plastiki na kilo moja ya chuma ukasema zote sawa sawa na kufurahi ,apoapo ukiulizwa mbona zilipowekwa kwenye maji yenye kina kilo moja ya plastiki ikawa inaelea na ya chuma ikazama ? Unaanza kubabaika.
 
Jibu Balali ni fisadi, mwizi, mhujumu uchumi, alitumia madaraka yake vibaya.
Mtu mwenye elimu kama ya balali huwa kwanza anaheshimu elimu yake. Husema ukweli na akiona utaalam wake kitaaluma unapindishwa haufuatwi au unatumika visivyo anajitoa. yeye hakufanya hivyo.

Rubani wa ndege aliyefuzu kazi yake vizuri akiaambiwa na mmiliki wa ndege ya abiria aendeshe ndege iliyonahitilafu atakataa kwa kufuata miiko ya kitaaluma.

Balali kazalilisha elimu yake hakutumia cheo chake kwa manufaa ya jamii, kubwa zaidi hakuwa tayari kusema ukweli kwani yeye alikuwa kuhani wa wezi.

Historia fupi ya balali. Fisadi, mwizi na mtaaluma aliyeidhalilisha elimu ya phd kwa kiwango kikubwa.

Mazuri ya balali alishirikiana na mkapa, grey mgonja kumpeleka kikwete ikulu kifisadi kwa kuiba fedha za wanyonge. Walijenga majumba ya kifahari na kuacha watanzania wengi wanakufa .
Alilimbikiza mali nyingi za wizi huku akizigawa fedha za masikini hovyo na kutuachia watanznia deni kubwa mno la kulilipa sisi na vizazi vyetu.

Alikufa ugenini na kuogapa kuzikwa na watanzani kwani wangegawana maiti yake kwa hasira. Hata wezi wenzake waliogopa maiti yake kwani ndio sifa ya ufisadi.
 
Jibu Balali ni fisadi, mwizi, mhujumu uchumi, alitumia madaraka yake vibaya.
Mtu mwenye elimu kama ya balali huwa kwanza anaheshimu elimu yake. Husema ukweli na akiona utaalam wake kitaaluma unapindishwa haufuatwi au unatumika visivyo anajitoa. yeye hakufanya hivyo.

Rubani wa ndege aliyefuzu kazi yake vizuri akiaambiwa na mmiliki wa ndege ya abiria aendeshe ndege iliyonahitilafu atakataa kwa kufuata miiko ya kitaaluma.

Balali kazalilisha elimu yake hakutumia cheo chake kwa manufaa ya jamii, kubwa zaidi hakuwa tayari kusema ukweli kwani yeye alikuwa kuhani wa wezi.

Historia fupi ya balali. Fisadi, mwizi na mtaaluma aliyeidhalilisha elimu ya phd kwa kiwango kikubwa.

Mazuri ya balali alishirikiana na mkapa, grey mgonja kumpeleka kikwete ikulu kifisadi kwa kuiba fedha za wanyonge. Walijenga majumba ya kifahari na kuacha watanzania wengi wanakufa .
Alilimbikiza mali nyingi za wizi huku akizigawa fedha za masikini hovyo na kutuachia watanznia deni kubwa mno la kulilipa sisi na vizazi vyetu.

Alikufa ugenini na kuogapa kuzikwa na watanzani kwani wangegawana maiti yake kwa hasira. Hata wezi wenzake waliogopa maiti yake kwani ndio sifa ya ufisadi.

Acha unafiki wangapi wametumia elimu zao kusaidia jamii katika Tanzania hii. Maprofessor wangapi wameacha kufundisha chuo kikuu na kwenda kujiunga na hao wanasiasa kufisadi nchi. Na bado jamii hiyo hiyo inayotakiwa kusaidiwa ikawachagua waendelee kufisadi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom