Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Habari,
Naomba tuainishe kauli au matusi na uchochezi wa upinzani na pia kauli kama hizo toka kwa viongozi.
Tunajua upinzani hukamatwa je watawala nani atawaadhibu?
Upinzani:
1. Dictator uchwara
2. Mkabila na mdini na mkanda
3. Mbaguzi
4. Afungwe breki
5. Anaropoka
6. Wa kupuuzwa
7. Wa kupingwa na wapenda demokrasia
8. Anavunja katiba
9. Mdini
10.hataki kukosolewa
11. Anapenda front pages
12. Hakuna uhuru kiasi hicho
13.........
SERIKALI
1. Wapumbavu
2. Malofa
3. Upinzani utakufa
4. Marufuku mikusanyiko ya upinzan
5. Mliochagua upinzani mtakoma hii ni serikali ya ccm ila mlipe kodi
6. Sipangiwi
7. Dc na rc weka ndani 48hrs
8. Hakuna nyongeza ya mshahara tunahakiki
9. Sitoi chakula kama kufa mfe
10.nk
Naomba tuainishe kauli au matusi na uchochezi wa upinzani na pia kauli kama hizo toka kwa viongozi.
Tunajua upinzani hukamatwa je watawala nani atawaadhibu?
Upinzani:
1. Dictator uchwara
2. Mkabila na mdini na mkanda
3. Mbaguzi
4. Afungwe breki
5. Anaropoka
6. Wa kupuuzwa
7. Wa kupingwa na wapenda demokrasia
8. Anavunja katiba
9. Mdini
10.hataki kukosolewa
11. Anapenda front pages
12. Hakuna uhuru kiasi hicho
13.........
SERIKALI
1. Wapumbavu
2. Malofa
3. Upinzani utakufa
4. Marufuku mikusanyiko ya upinzan
5. Mliochagua upinzani mtakoma hii ni serikali ya ccm ila mlipe kodi
6. Sipangiwi
7. Dc na rc weka ndani 48hrs
8. Hakuna nyongeza ya mshahara tunahakiki
9. Sitoi chakula kama kufa mfe
10.nk