Tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie

Dunia haiko kama unavyoiona, Kuna agenda ya siri sana, na wahanga wakubwa watu, weusi, lazima uamke ili uione picha kubwa...ukifanya hivyo, utajikuta uko vitani mtu mweusi, karibu tuko hapa maaskari wenzio kukufungua macho yako....uamke kutoka msukuleni. Hapa tunakufunulia mambo yaonekanayo ndivyo hivyo, kumbe sivyo ndivyo.

Lengo kuu la uzi huu, ni kukufikisha mahali ndugu msomaji ukajihoji binafsi, na yale yanayoendelea duniani, kukuchochea we kutokubali mambo kwenye sahani
Kwenye dunia iliyojawa ushahidi wa uongo, kutokuwepo ushahidi ndio inakuwa ushahidi, hii hasa pale watawala, wenye mamlaka juu ya vyanzo vya taarifa, wanapokuwa ndio watuhumiwa wenyewe. Ishu ya Michael Jackson, ni mfano mdogo tu, mjadala ni mpana kuliko hapo.

Mada yetu inahoja Za msingi zifuatazo:

1. Mweusi binadamu wa Kwanza
2. Mweusi mwanzilishi wa ustaarabu duniani ikiwa ni pamoja na dini
3. mweupe kwa sababu ya wivu na chuki akaleta Sera ya ubaguzi
4. Kupitia ubaguzi amejaribu na kufanikiwa mno kufuta ya misingi mikuu iliyowekwa na mtu mweusi, kisiasa, kitaaluma, kitamaduni
5. Ustaarabu wa mweupe leo ni mwigo wa ustaarabu mkongwe zaidi wa mweusi kwa kila namna
* Kama una ushahidi kupinga haya tuyasemayo, tuletee hapa tuamke, tuwaamshe mizimu wetu, katika nyakati za hatari watusaidie'
Mara unapojua uko vitani, hiyo ni ngazi ya kwanza, Nasi twataka tukufunde jando mwitu, na unyago wa mizimu'
Tukujaze silaha na mbinu katika vita yako, utakapo amka na kujikomboa mtu mweusi dunia utaikomboa'
NB: The things people refuse are the things they should choose' Bob Marley

And remember:

You can fool all the people some of the time, and some of the people all the time, but you cannot fool all the people all the time.
Abraham Lincoln.


Asanteni

View attachment 805894 View attachment 805895 View attachment 805897


Lile dhehebu langu la "JUMBA LA MIZIMU" bado nalifanyia kazi, kiukweli nitaokoa watu wengi sana wasiojua mambo... tutaabudu kulingana na mizimu yetu.... hii itatusaidia kuwa sisi.

Karibu tuuungane
 
Anaitwa Daniel

DANIEL Jepsin, AN ARTIST, CIA and Mossad recruitee, KAMA ALIVYOKUWA BIN LADEN, NA ALBAGHDAD KIONGOZI WA ISISIL SASA
izo habari za kuleta dhana zimimepitwa na wakati hakuna facts mna force mambo ya kufikirika kwa kadri ya hisia na mitazamo yenu hasi ya kujibagua kirangi ili mjikute ni bora kuliko watu wa rangi fulani lakini facts zina watupa nje na kuwaacha mkijenga chuki na jazba isiyo na tija ndani ya mioyo yenu na kwa jamii
 
Imethihitishwa..
Mwanamke mweusi ana mvuto ki mapenzi kuliko wa kizungu....why!
Tulishafanya makubwa mno, mweusi ndio rangi ya jua, tuna viini vya melanin, dada tusijipodoe, tuache mikorogo, huu weusi, wazungu wanautamani, hawawezi kuwanao, tumepewa na mungu
 
Huyu ndio baba wa wale watoto wazungu....kisa ni ubaguzi wa rangi...ona sasa wana Justin bieber wao, wakamuua tupac wakamchomeka Eminem....lakini hawatuwezi....sisi ni watu wa Mungu, mbegu ya asili
yan mnajibagua wenyewe kwa kuamini dhana badala ya uhalisia yani unajenga hisia za kubaguliwa kabla haujabaguliwa
 
Mimi nakubaliana na wewe maana wadhungu wametudanganya sana, kiasi ambacho ukweli hau exists kwenye mambo yao yote!
Sasa hivi ni heri kuishi na imani yetu na kikubwa ni kuamini your intuition!
Mengine yote huwa yana ji unfold by itself!
mpaka mnadanganywa mizimu ilikuwa wap tujibuni ndio mana ss wengine tumeikataa mizimu kwa sababu ni dhaifu na haina msaada wowote kwa binadamu anaye amini katika kutafta super power
 
Back
Top Bottom