dead line n liniSerikali Imefungua nafasi kwa ngazi ya diploma nawashauri waombe huko watapata.
Kuna mkufunzi mmoja ndo kanipa habari hizo jana mkuu nilikuwa naye mahali.alinielezea waombe chuo husika moja kwa moja.hivyo sikuweza kumuuliza deadline yake ingekuwa lini.dead line n lini
Tarehe 27 mwezi huu,kwa diploma ya ualimu iliyopo ni Ya ualimu wa ufundi sekondari pale Kleruu!dead line n lini
Kuna mkufunzi mmoja ndo kanipa habari hizo jana mkuu nilikuwa naye mahali.alinielezea waombe chuo husika moja kwa moja.hivyo sikuweza kumuuliza deadline yake ingekuwa lini.
Tarehe 27 mwezi huu,kwa diploma ya ualimu iliyopo ni Ya ualimu wa ufundi sekondari pale Kleruu!
vigezoTarehe 27 mwezi huu,kwa diploma ya ualimu iliyopo ni Ya ualimu wa ufundi sekondari pale Kleruu!
kaenda direct nitJamaa pia JUZI kaomba NIT KAPATA
na kama hawaja ajiriwa wakiwa wamemaliza degreeKama ni mwanamke akaolewe,
Kama ni mwanaume akalime...
Kuna jingine..???
kwa klerruu ni 2 Principal Passes,kwenye Hisabati na Sayansi,au kwa waliomaliza O-level na kupata ufaulu wa daraja la I-III wenye sifa za Credit katika masomo mawili ya ufundi ikiwemo Drawing,Hisabati,Engineering Science au Kemia.vigezo
Kuna wanafunzi wanalalamika, kwa nini wanapoomba au ku-apply kwenye vyuo na mitandaoni wanaambiwa hawana vigezo ili hali walifaulu kwa kupata Division III?
Au ndio kupanda kwa viwango vya elimu huku? Tuambizane wadau!
Hakuna chuo makini kama chuo cha Maji,Penda sana Rwegalulila kimenilea mpaka sasa naona matunda yakeNenda kaombe direct Chuo cha Maji, Ubungo kama uko na interest, only diploma.