Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,588
- 20,890
Naomba kujuzwa tu maana nijuavyo ccm walikuwaga na utaratibu wao maalum kwa mujibu wa katiba yao,wale wenye nia walikuwa wanachukuwa form na kupigiana kura ndani ya chama chao.je wataifuata katiba ya chama chao au la....