Tuambiwe ukweli: Stiglers Gorge inaweza kuwa maafa makubwa kwa taifa badala ya furaha

Ujenzi wa mabwawa makubwa kama hili letu huwa unaambatana na mikopo mikubwa ambayo ishawahi kusababisha uchumi kuanguka katika nchi za Turkey, Brazil, Mexico, na Yugoslavia⁠ ya zamani

kwa mfano bwawa la Tarbela kwenye mto Indus huko Pakistan.Mwaka 1968, kiliwekwa kipengele cha interest ya 7.5 kwa ajili ya ku cover inflation na ucheleweshaji wa mradi. lakini mradi haukukamilika hadi 1984, ulichelewa kwa miaka 8, inflation ikawa imefikia asilimia 380 . Bwawa hilo likagharimu mara nne ya gharama iliyokadiriwa na kuongeza deni la taifa la pakistani kwa mara nne zaidi

Mabwawa huchukua average ya miaka 8.7 kujengwa na mara nyingi matatizo yanapotokea na waanzilishi mradi hawapo madarakani basi waliopo madarakani huangushia lawama wale waliotoka
Mnyika wa chadema siyo mjinga kutaka kuona mkataba wa Stiglers Gorge ,hata catherine Ruge alipodai the real cost ni 21 trliion na siyo 7 trillion she has a point
Kwanza huu mradi tunaambiwa ni fedha za ndani okay tuseme ni hivyo ila kweli ndiyo utachukua miaka mitatu??????,hiyo Gorge yenyewe ina urefu wa kilometa 8 na mita 100 kushuka chini sina hakika mradi uta cover eneo kisasi gani lakini selous ni kubwa zaidi ya nchi ya Uswis na ni 4/5 ya nchi ya Ireland,vilevile katika ujenzi wa mabwawa kuna hatua lazima ujenzi usimame ili kingo zishike vizuri,mistakes zikifanyika tujue ni KLIO KWA UCHUMI kwa miaka mingi ijayo NA MAISHA YA WATU. kwa mfano:

*Bwawa lilokuwa linajengwa huko nchini laos lilipasua kingo na kusababisha mafuriko yaliyoua watu 200 na kuwaacha wengine 6000 wakiishi kwenye mahema

*Mmonyoko wa ardhi ulisababisha uharibifu mkubwa katika bwawa la Ituango linalojengwa huko colombia na kusababisha watu 25,000 kuhamishwa huku mradi huo wa dollar bilion 5 ukiwa matatani
*Miaka mitatu iliyopita bwawa refu huko marekani liitwalo Oroville Dam lililopo kaskazini mwa California, nusu lipasuke na kusababisha kuhamishwa kwa watu 190,000 na matengenezo yaliyogharimu dola bilioni1.1
*⁠.
mwisho kabisa,Ujenzi wa mabwawa kama ya kwetu una historia mbaya duniani kote.HUAMBATANA NA RUSHWA KUANZIA TENDA ZINAVYOTOLEWA,WANASIASA CORRUPT HUJIFAIDISHA,wengi hawaweki wazi mikataba ila mwisho wake gharama mradi unapoisha zinaongezeka siyo zile zilizosemwa mwanzo
Mfano mzuri ni kichekesho huko Congo,wanataka kujenga bwawa katika mto congo kwa gharama za dollar billion 80 na litakuwa bwawa kubwa duniani ila ni Mungu anajua tu what that means kwa nchi kama Congo
-NI JAMBO JEMA KAMA MRADI HUU WETU AMBAO UKIKAMILIKA LITAKUWA BWAWA LA PILI KWA UKUBWA AFRIKA UENDE KI UWELEDI
*mazingira ya Ecology yazingatiwe
*mkataba uwekwe wazi tujue nchi itabebaje mzigo miaka ya mbeleni tusidanganyane eti bwawa la pili kwa ukubwa Africa litakamilika kwa 3.6 bilion dollars
*Hii story ya kwamba litakamilika ndani ya miaka 3 ndiyo inanipa wasiwasi na this whole issue,ni kwamba mnafosi kwa ajili ya masifa au?hizo KINGO ZITAKUJA KUPASUKA na roho zitakazopotea zitakuwa juu yenu,maana siyo chini ya watu laki moja watakufa na vile vinyumba vya udongo yarabi toba
Tunajenga kwa fedha zetu za ndani.
 
CCM hawajawahi fanya lililo jema kwa Tanzania..Mungu ndio anatuepusha na shari zao tu.
Kwan we Ni shabiki wa chama , pia tunekuwa wendawazimu Sana kuhusudu yanayoongelewa na media za njee kukatisha tamaa kuiboresha sekta yet ya nishati. Africa we are shit
 
Maisha ya wanyama😄😄 acha nicheke Mimi wehu waliowaletea habari ya uharibifu wa mazingira hata kwenye mbuga zao wanajenga mahotel nanmahumba ya starehe ila sisi wanatuambia Ni uharibifu wa mazingira na mlivo wajinga mnaitikia km watoto

Africa Africa Africa
originally hata arab contractors walisema ujenzi ni 10 years nashangaa kusikia majamaa na kikundi cha matarumbeta cha lumumba wansema itachukua 3 years eti itajengwa usiku na mchana, are these dudes high on Daud kanyau's cocaine or what? kabwawa cha HALE kalichukua 5 years hilo dude lichukue 3 years?
kwa kufichaficha huku hata mikataba nahisi kutakuwa na uharibufu mkubwa wa mazingira vifo vya wanyama na wengine watakimbilia kwenye makazi ya watu na kama waarabu wakifosiwa kulipua kwa miaka 3 basi tutarajie kupasuka kwa kingo then gharika kubwa na kutokea mauaji ya kutisha kwenye historia ya nchi yetu
 
Ujenzi wa mabwawa makubwa kama hili letu huwa unaambatana na mikopo mikubwa ambayo ishawahi kusababisha uchumi kuanguka katika nchi za Turkey, Brazil, Mexico, na Yugoslavia⁠ ya zamani

kwa mfano bwawa la Tarbela kwenye mto Indus huko Pakistan.Mwaka 1968, kiliwekwa kipengele cha interest ya 7.5 kwa ajili ya ku cover inflation na ucheleweshaji wa mradi. lakini mradi haukukamilika hadi 1984, ulichelewa kwa miaka 8, inflation ikawa imefikia asilimia 380 . Bwawa hilo likagharimu mara nne ya gharama iliyokadiriwa na kuongeza deni la taifa la pakistani kwa mara nne zaidi

Mabwawa huchukua average ya miaka 8.7 kujengwa na mara nyingi matatizo yanapotokea na waanzilishi mradi hawapo madarakani basi waliopo madarakani huangushia lawama wale waliotoka
Mnyika wa chadema siyo mjinga kutaka kuona mkataba wa Stiglers Gorge ,hata catherine Ruge alipodai the real cost ni 21 trliion na siyo 7 trillion she has a point
Kwanza huu mradi tunaambiwa ni fedha za ndani okay tuseme ni hivyo ila kweli ndiyo utachukua miaka mitatu??????,hiyo Gorge yenyewe ina urefu wa kilometa 8 na mita 100 kushuka chini sina hakika mradi uta cover eneo kisasi gani lakini selous ni kubwa zaidi ya nchi ya Uswis na ni 4/5 ya nchi ya Ireland,vilevile katika ujenzi wa mabwawa kuna hatua lazima ujenzi usimame ili kingo zishike vizuri,mistakes zikifanyika tujue ni KLIO KWA UCHUMI kwa miaka mingi ijayo NA MAISHA YA WATU. kwa mfano:

*Bwawa lilokuwa linajengwa huko nchini laos lilipasua kingo na kusababisha mafuriko yaliyoua watu 200 na kuwaacha wengine 6000 wakiishi kwenye mahema

*Mmonyoko wa ardhi ulisababisha uharibifu mkubwa katika bwawa la Ituango linalojengwa huko colombia na kusababisha watu 25,000 kuhamishwa huku mradi huo wa dollar bilion 5 ukiwa matatani
*Miaka mitatu iliyopita bwawa refu huko marekani liitwalo Oroville Dam lililopo kaskazini mwa California, nusu lipasuke na kusababisha kuhamishwa kwa watu 190,000 na matengenezo yaliyogharimu dola bilioni1.1
*⁠.
mwisho kabisa,Ujenzi wa mabwawa kama ya kwetu una historia mbaya duniani kote.HUAMBATANA NA RUSHWA KUANZIA TENDA ZINAVYOTOLEWA,WANASIASA CORRUPT HUJIFAIDISHA,wengi hawaweki wazi mikataba ila mwisho wake gharama mradi unapoisha zinaongezeka siyo zile zilizosemwa mwanzo
Mfano mzuri ni kichekesho huko Congo,wanataka kujenga bwawa katika mto congo kwa gharama za dollar billion 80 na litakuwa bwawa kubwa duniani ila ni Mungu anajua tu what that means kwa nchi kama Congo
-NI JAMBO JEMA KAMA MRADI HUU WETU AMBAO UKIKAMILIKA LITAKUWA BWAWA LA PILI KWA UKUBWA AFRIKA UENDE KI UWELEDI
*mazingira ya Ecology yazingatiwe
*mkataba uwekwe wazi tujue nchi itabebaje mzigo miaka ya mbeleni tusidanganyane eti bwawa la pili kwa ukubwa Africa litakamilika kwa 3.6 bilion dollars
*Hii story ya kwamba litakamilika ndani ya miaka 3 ndiyo inanipa wasiwasi na this whole issue,ni kwamba mnafosi kwa ajili ya masifa au?hizo KINGO ZITAKUJA KUPASUKA na roho zitakazopotea zitakuwa juu yenu,maana siyo chini ya watu laki moja watakufa na vile vinyumba vya udongo yarabi toba
Acha kupotosha uma mwalimu nyerere apikuwa na mpango wa kujenga bwawa hili akapigwa vita Sana na mabepari
 
Back
Top Bottom