JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 54,993
Unaweza kushangaa kwanini nimeileta hoja hii upande wa jukwaa la HISTORIA, wakati ni jambo lililozungumzwa ktk mkutano wa kampeni za uchaguzi.
Kati ya mwaka 1964 na 71,Khassim Hanga, Idris Abdalah Majura, Abdul Aziz Twala, Mdungi Ussi, Saleh Sadalah, Jaha Ubwa, Juma Ringo, Othman Sharif, na wengine, walikamatwa na vyombo vya dola vya Zanzibar, na hawajapatikana mpaka leo hii.
Jana katika mkutano wake wa kampeni wa, Tundu Lissu aliwataja wahanga hao wa siasa za Znz. Itakumbukwa kwamba aliwahi kuwataja tena katika Bunge Maalum la Katiba la mwaka 2013.
Umpende, au umchukie, Tundu Lissu, ni mwanasiasa ambaye akizungumza huwezi kuchoka kumsikiliza.
Kati ya mwaka 1964 na 71,Khassim Hanga, Idris Abdalah Majura, Abdul Aziz Twala, Mdungi Ussi, Saleh Sadalah, Jaha Ubwa, Juma Ringo, Othman Sharif, na wengine, walikamatwa na vyombo vya dola vya Zanzibar, na hawajapatikana mpaka leo hii.
Jana katika mkutano wake wa kampeni wa, Tundu Lissu aliwataja wahanga hao wa siasa za Znz. Itakumbukwa kwamba aliwahi kuwataja tena katika Bunge Maalum la Katiba la mwaka 2013.
Umpende, au umchukie, Tundu Lissu, ni mwanasiasa ambaye akizungumza huwezi kuchoka kumsikiliza.