NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Warundi waje jukwaani hapa wakague kama kweli kwenye haya majina akuna tusi,wabongo sisi kwenye matumizi ya media ni noma,duh!.
Acha fujo basiiiShadeayano Mtangarimana. 😀😀
Halafu hili jina we si ndo umenipa. 😅😅😅Acha fujo basiii
Basi mamii, ruhusa kulitumia. Nimekumbuka manyota hayo nilikupa mwenyeweee😜😜😍😍Halafu hili jina we si ndo umenipa. 😅😅😅
Nimelikumbuka nikaone nikalitumie huko Burundi. 😀
Didier MbabentingirwaKatika kutekeleza kauli ya Waziri wa Fedha, ya kututaka tuhamie Burundi kama hatuwezi kulipa tozo za miamala ya simu, jina lako la Burundi unaitwa nani? Mimi naitwa Renzoimana Barberashimiye.
Eeewaaa!!! 😍Basi mamii, ruhusa kulitumia. Nimekumbuka manyota hayo nilikupa mwenyeweee😜😜😍😍