Tuambie huko kwenu nafaka kama mahindi wanauza Tsh ngapi?

Serikali inakosea sana inapojaribu kupunguza mfumuko wa bei kwa kumtwisha msalaba mkulima

Ishu ni kuongeza uzalishaji na kufanya biashara kwa kuweka mikakati na vipaumbele madhubuti sio kufunga mipaka na kuwatia wananchi umasikini

Wenzetu wanakazana kuwekeza kwenye kilimo kuongeza uzalishaji na kuuza ziada nje, sisi tunakazana kufungia kidogo tulichopata sijui ni akili ya wapi hii..
Alafu kwa staili hii tunataka kuwa nchi ya viwanda tutapata wapi raw materia?
Viongozi wetu wako karne ya 9 wakati dunia iko 21st Century.[/QUOTE
Kweli mkuu, halafu wapo maofisini wakilinda vibarua vyao kwa kila hali huku wanasisitiza vijana wakajiajiri kwenye kilimo!.shame on them!
 
Pamba kilo ni tsh ngapi?
Mkuu, kwa kanda hii ambapo kilimo cha pamba kinafanyika kwa sababu za kijiografia, nadhani kulikuwa na bei elekezi, na msimu ulikwisha.
Sipingani na hoja zako, na naweza kuona jinsi bei ilivyokandamizi hasa kwa mikoa ya kusini na kwingineko, tuzidi kupaza sauti nadhani wataliona na kulifanyia kazi.
 
Hivi debe la kawaida linapokuwa limejaa mahindi linakuwa na kilo ngapi ili tuangalie bei kwa kilo? Na pia debe moja la mchele uwa ni kilo ngapi likijaa?

Kwa makadirio ya chapu chapu debe la mahindi ni around kilo 15-18 mkuu inategemea na mahindi yalivyo. Mchele inacheza kilo 18-22 mkuu.
 
Kuna mada humu inasema Dona NISUMU, tuliambiwa Sembe LINATULEGEZA wanaume wa Dar, sasa wewe unataka kujua bei ya nini nasisi hatufugi ng'ombe?!
 
Back
Top Bottom