Chaukarange
Member
- Apr 19, 2020
- 63
- 167
Dj AllyB 'Profesa'
Wasafi sio?Dj Ninah
jamaa wa zamani huyuDj AllyB 'Profesa'
Wasafi...jamaa wa zamani huyu
Dj bora wa kubadili majina! Kutoa Deo Kisandu aka Masqo mpaka DON Nalimison! Na sasa Dj DON NALIMISON !Kwangu Dj DON NALIMISON kutokea pande za jf anabakia kua bora
Kwangu DJ John Dillinga Matlou Aka DJ JD ni DJ bora wakati wote!Mwaka ukiwa unaishia hivyo kwa wapenzi wa burudani yaani music na wale wa bata batani, viwanja.
Hebu weka top 3 yako hapa ya ma dj waliofanya powa na kukurusha kama sio kukukonga nyonyo na hata kupelekea unywe bia nyingi kama sio kitimoto kilo 2..
Ni vizuri pia tukikumbuka mchango wa hawa watu sio kila siku wasanii. Tu
Kwangu ni hawa.
Dj kidylux- (wasafi fm &tv)
Dj delvick- (wasafi fm &tv)
Dj summer -( East Africa tv&radio)
Bonus
Dj scratch designer (clouds).
Cc Times9 ,
Yeah yeye ni mzee wa flashback sijawahi sikia anapiga bongo fleva labda huwa anapigaeKwangu DJ John Dillinga Matlou Aka DJ JD ni DJ bora wakati wote!
Weloveoldskul #Weloveflashback
#Tumetokambalipamoja #Morogorohotel #Shimoni #Mamboclub#ClubBillicas #Billz # HyattyLKilimanjaroHotel#The SynergyLounge #IsumbaLounge #ClubLegends
Dj D ommy huwa habahatishi mkuu yule ni international sema playlist nyingi anarudiaga sana. Vipi kule simba Day jana naskia alikuwepo? Je na sinyorita nae alileta vibe?Dj D-ommy- anajua sana kuset vibe..
Djscratchdesigner- Good mixing and scratch
Dj lyta alikuwa na zile anaziita hot grabber zilikuwa za moto.Dj LYTA... From YouTube. The best DJ of all times ni DJ kenb
Yeah...D ommy anarudia sana ngoma sema selection zake zinakuwaga perfect..akiamua kupiga slow jams basi hapo zitapigwa best slow jams only.Dj D ommy huwa habahatishi mkuu yule ni international sema playlist nyingi anarudiaga sana. Vipi kule simba Day jana naskia alikuwepo? Je na sinyorita nae alileta vibe?
Scratch designer niliwahi kumshuhudia hapa Dodoma aliwahi kuja, jamaa anajua kumix sana na ngoma za moto
Yaani sio lazima akupigie zinazotrend ndo ucheze, hata kuna zingine huzijui lakini utacheza tu
Dah kama alipiga hiyo ngoma basi alifanya kwikwi sio powa kabisa..Yeah...D ommy anarudia sana ngoma sema selection zake zinakuwaga perfect..akiamua kupiga slow jams basi hapo zitapigwa best slow jams only.
Sinyorita hana mixing skills ila jana aliamsha kinoma alichagua ngoma za kuamsha jukwaa..mfano mikasi ya Ngwair aliipiga akaamsha kinoma hapo kwa Mkapa,Simbaday.
Nadhani kuna vitu ni kama talent..hata ukifundishwa bado hautaweza kuwa perfect.Dah kama alipiga hiyo ngoma basi alifanya kwikwi sio powa kabisa..
Inamaana wakati wa kumix nyimbo ndio huwa panamshinda sinyorita?
Kwanini asimuambie ommy amfundishe? Nilikuwa naskia pia sinyorita anapiga amapiano pia.
Vipi mkuu sound waliyokuwa wamefunga ilikuwa ni ya clouds? Au walitoa madj tu? Maana naskia wana mziki sio wa kitoto.
Jana hata Simba day alipiga hakuna Mungu kama weweAnapiga zile za kuchangamsha halafu kwenye playlist yake haikosekani Hakuna Mungu kama wewe na ule wimbo wa Zabron Singers nadhani unaitwa nimeuona.
Ukiona zinapigwa nyimbo hizo ujue ishafika saa tisa, wa kazini asubuhi mjiandae mwondoke.
Niliisikia ndiyoJana hata Simba day alipiga hakuna Mungu kama wewe
Wabongo bhana ,jana amsha amsha ilikuwa ndogo ilipowekwa tu hakuna Mungu kama wewe uwanja ukazizimaNiliisikia ndiyo
Wengi hatumuelewi hasa kwenye uchanganyaji wa nyimboMie huwa sinyorita simuelewi mkuu. Japo binadamu tunatofautiana simaanishi kukupinga..