Bm_boy
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 545
- 346
Leo ikiwa ni siki ya wapendanao kwa upande wangu nimekua nikikumbuka mengi .
Kubwa nakumbuka siku kama ya leo nilikua na mpenzi wangu kwaajili ya kuadhimisha siku hii tulifanya mengi na mwisho wa saa tuliishia kwenye gemu. Sa muda wa gemu ndipo uchungu wa sikuu hii ulipo anzia..
Game ilinoga sana coz watu tulikua tumeipania ila kufika kati kati katika zile hali za kunogewa Alianza kuongea maneno kibao ila kubwa ni pale aliponiambia bby nisamehe nilikusaliti mara moja ila sitarudia tena.. Daah.. Stimu zote zilikata,, kilichofuata najua mwenyewe..
Ebu tuambiane hapa wewe ulikutana na maneno gani yakukata stim kati kati ya game.!
Kubwa nakumbuka siku kama ya leo nilikua na mpenzi wangu kwaajili ya kuadhimisha siku hii tulifanya mengi na mwisho wa saa tuliishia kwenye gemu. Sa muda wa gemu ndipo uchungu wa sikuu hii ulipo anzia..
Game ilinoga sana coz watu tulikua tumeipania ila kufika kati kati katika zile hali za kunogewa Alianza kuongea maneno kibao ila kubwa ni pale aliponiambia bby nisamehe nilikusaliti mara moja ila sitarudia tena.. Daah.. Stimu zote zilikata,, kilichofuata najua mwenyewe..
Ebu tuambiane hapa wewe ulikutana na maneno gani yakukata stim kati kati ya game.!