Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Rai yangu kwa Serikali hasa Mh Rais Magufuli
Sioni sababu yoyote ya kuendelea na Uchaguzi Mkuu mwaka huu wakati hatujajua hili janga la Corona litaisha lini
Naomba Serikali kuahirisha Uchaguzi wa Madiwani,Wabunge na wa Rais na pesa zote zielekezwe kwenye kupambana na virus vya Corona.
Nawasilisha
Alex Fredrick
Sent using Jamii Forums mobile app
Sioni sababu yoyote ya kuendelea na Uchaguzi Mkuu mwaka huu wakati hatujajua hili janga la Corona litaisha lini
Naomba Serikali kuahirisha Uchaguzi wa Madiwani,Wabunge na wa Rais na pesa zote zielekezwe kwenye kupambana na virus vya Corona.
Nawasilisha
Alex Fredrick
Sent using Jamii Forums mobile app