Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,450
- 3,379
Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu
Tukiacha tu utan aliyekuwa nyota wa Chelsea na sasa kocha wao frank lampard ni bonge la kocha
Kwanza hana mchezaji tegemeo wa kuweza amua matokeo kama team zingine
Pili hajasajili kabisa
Tatu hazard alisepa na kuicha team mkiwa
Nne ana vitoto vya academy masikin wa Mungu vitoto ambavyo hata havijulikan vilicheza wapi kama vi mason, tomori, Abraham sijui na ki james kile kidogo ambacho hata league kuu England hakijawahi kucheza lakin juzi kilicheza kwenye UEFA zidi ya lile
Huyu jama ni bonge la kocha nina uhakika top four kwake lazima
Tukiacha tu utan aliyekuwa nyota wa Chelsea na sasa kocha wao frank lampard ni bonge la kocha
Kwanza hana mchezaji tegemeo wa kuweza amua matokeo kama team zingine
Pili hajasajili kabisa
Tatu hazard alisepa na kuicha team mkiwa
Nne ana vitoto vya academy masikin wa Mungu vitoto ambavyo hata havijulikan vilicheza wapi kama vi mason, tomori, Abraham sijui na ki james kile kidogo ambacho hata league kuu England hakijawahi kucheza lakin juzi kilicheza kwenye UEFA zidi ya lile
Huyu jama ni bonge la kocha nina uhakika top four kwake lazima