Hizo sefuria za ubwabwa mbona kama utani?
Inasikitisha ambavyo kijana huyu amethaminiwa baada ya kifo. Kati ya haoashabiki ukiuliza wangapi walishawahi kuhudhuria show ama kununua genuine album, utachoka. Sijui tukoje.
Yani sisi wanadamu tumejaa unafiki mkubwa
Binadamu kwa kuigiza nimenyanyua mikono juu...Sasa hivi wana uchungu sana na kikubwa zaidi ni kujionyesha.....embu watu wabadilike, upendo wa dhati uonekane mtu akiwa hai .
Mmmhh
Sauda Mwilima hapo tena na nguo yenye
kuonyesha maungo ni nini msibani.
Kila nafsi itaonja mauti,......
Rest In Peace Albert.
kwa maoni yangu mi nilitaka maiti yake ichapwe viboko ili liwefundisho kwa mateja ote na wanao taka kuingia ktk mkumbo huo, binafsi hakuna jema nililo jifunza kwake kamakweli alikufa kwa madawa.
Kwani rc tulimsaidia wote ama alisaidiwa na kaka mkuu? Huu ujumbe ni wa kaka mkuu. Haendi kwenye misiba ya maprofesa anaenda kumzika kanumba. Kwanza sijui kwa nini hakwenda kumzika ngwear
kwa maoni yangu mi nilitaka maiti yake ichapwe viboko ili liwefundisho kwa mateja ote na wanao taka kuingia ktk mkumbo huo, binafsi hakuna jema nililo jifunza kwake kamakweli alikufa kwa madawa.