Nakukubali Mwamba Hadi wateme ndoano. Wewe Ni chuma kweli kweli!Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha Mungu yupo, wanapiga hadithi za uongo njoo utamu kolea tu.
Inathibitisha nini, kivipi?Fine tuned universe inathibitisha
Huwa nakuchunguliaa nabaki kusema tu moyoni na leo naweka wazi kuwa wewe hutakufa ila mpaka utakapokuja kucomfirm hapa kuwa umesilimu. Pia kuna wenzako wengine humuhumu nao huwa nikiwazoom naona kabisa hao watakufa vivyohivyo walivyo maana wamepania (wamenuia) kabisa juu ya wanalolifanya... kikubwa uzima na muda tuKuna video jamaa mwingine kapost Whatsapp amenukuu aya anasema Waislamu wamsamehe Afande Sele kashaomba msamaha, mashehe wasiwe wakali waseme na watu kwa upole.
A very touching and compassionate side of Islam. Nimeipenda.
Hapo ndipo utajua Uislamu una sura tofauti.
Mungu wa watanzania kwa ujumla ni yupi? Mungu wa magufuli ni yupi unayemfaham wewe umlete hapa na athibitishe?Hiyo paragrafu ya tatu umedanganya, kwani hukusikia au hukuelewa kwamba alimkusudia Mungu wa Magufuli na Watanzania kwa ujumla? Hilo la kwanza
La pili; unasema aachwe na uhuru wake fine, ila mbona yeye anatusimanga sisi Watanzania (Waafrika) pamoja na Mungu wetu na matusi mazito juu kwamba tume/tunapumbazwa na walioleta elimu ya kuhusu Mungu aliowaita "wazungu"
La tatu; huyo mwenzako mbona alishaweka clear kwamba ajitokeze yeyote amwombee mabaya kwa "Mungu" halafu aone kama yatamfika/yatampata (tena alitaja kabisa aombewe kifo- maana yeye ameona kifo ndo adhabu ingemfaa zaidi kwa maovu yake hayo, kasahau kuwa adhabu zipo nyingi). Wewe ndo ujidai kumtetea hapa kwamba unajua zaidi kuliko yeye aliyeturuhusu kumlaani!!!? Ajabu sana
Mwisho; hizo dini zetu na Mungu wetu mnaemdharau ndo zinatufundisha tupambane kwa nguvu zote kuhakikisha hazitiwi mdomo, mkono wala roho ya uchafu wowote kama huo aliouleta huyo unayemtetea (tena umekiri kabisa kuwa alichofanya si katika maadili mema). Kwa mantiki hiyo kusema tunampambania Mungu mara ooh sijui nini!? haikuhusu usitufokee wala nini acha tupambane na wewe pambana kivyako otherwise wewe tulia tu kaa kwa kutulia ukisubiri majibu
Tunahesabu ndani ya siku saba. Je asipokufa? Dini zenu zipi hizo? We Dini yako ni ipi?😁😁😁😁 Ina mungu ambaye ni weak inabidi umpambanie?Hiyo paragrafu ya tatu umedanganya, kwani hukusikia au hukuelewa kwamba alimkusudia Mungu wa Magufuli na Watanzania kwa ujumla? Hilo la kwanza
La pili; unasema aachwe na uhuru wake fine, ila mbona yeye anatusimanga sisi Watanzania (Waafrika) pamoja na Mungu wetu na matusi mazito juu kwamba tume/tunapumbazwa na walioleta elimu ya kuhusu Mungu aliowaita "wazungu"
La tatu; huyo mwenzako mbona alishaweka clear kwamba ajitokeze yeyote amwombee mabaya kwa "Mungu" halafu aone kama yatamfika/yatampata (tena alitaja kabisa aombewe kifo- maana yeye ameona kifo ndo adhabu ingemfaa zaidi kwa maovu yake hayo, kasahau kuwa adhabu zipo nyingi). Wewe ndo ujidai kumtetea hapa kwamba unajua zaidi kuliko yeye aliyeturuhusu kumlaani!!!? Ajabu sana
Mwisho; hizo dini zetu na Mungu wetu mnaemdharau ndo zinatufundisha tupambane kwa nguvu zote kuhakikisha hazitiwi mdomo, mkono wala roho ya uchafu wowote kama huo aliouleta huyo unayemtetea (tena umekiri kabisa kuwa alichofanya si katika maadili mema). Kwa mantiki hiyo kusema tunampambania Mungu mara ooh sijui nini!? haikuhusu usitufokee wala nini acha tupambane na wewe pambana kivyako otherwise wewe tulia tu kaa kwa kutulia ukisubiri majibu
Nimekwambiya andika hapa jamvini ili umuone huyo Mungu tunayemtetea hapa.Mungu wa watanzania kwa ujumla ni yupi? Mungu wa magufuli ni yupi unayemfaham wewe umlete hapa na athibitishe?
Kwanza wathibitishe huyo Mungu yupo.
Wasije kumuua Afande Sele kwa hadithi tu.
Uko sawa kabisaKILA mtu ana mungu wake mungu wake sele ameshindwa timiza matakwa ya sele,hawa mashehe wamekosea Sana wanakwenda aibika kama alivyoaibika mzee wa upako aliposema waandishi watakufa ikifika April waliondika habari zake akizozana na jirani zake.Mungu wa sele sio Allah wala Jehovah hapa mashehe wameonyesha upeo mdogo,angemtaja Mungu wao hapo SAwa.kama Mungu wa sele ni jua au bange na ameshindwa timiza matakwa ya sele hao wanaomuombea laana wanaomba kwa Mungu yupi.
Kwanza wathibitishe huyo Mungu yupo.
Wasije kumuua Afande Sele kwa hadithi tu.
Sio mimi sielewi.
Suala lenyewe ndilo halieleweki.
Ndiyo maana hata wewe nimekutaka uthibitishe Mungu yupo, umeshindwa.
Hata wewe huelewi jinsi ya kuthibitisha Mungu yupo.
Si mimi tu.
aiseeeHata nikiunganishwa, hilo halitathibitisha Mungu yupo.
Thibitisha Mungu yupo.
Mkuu siku ya mwisho nakusikitikia sana kwa moto wa jehenam utakao kuchomaSitaki kuamini, nataka kujua.
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo? Ukiweza kuthibitisha kimantiki mimi sina tatizo kukubali Mungu yupo.