Uchaguzi 2020 Tuache utani, uchaguzi wa mwaka huu 2020 utakuwa mgumu sana kama Membe atagombea kupitia upinzani

Hofu yako "labda" ina mantiki....

Lakini umesahau jambo moja, kuwa, MAJIRA na NYAKATI ndizo huamua matukio chini ya uso wa dunia.....

Majira na nyakati zikiruhusu, hakuna kinachoweza kuzuia GOLIATH asiangushwe chini na DAUDI tena kwa silaha dhaifu kabisa.....

Mkoloni mwingereza alikuwa na nguvu sana KIFEDHA na KIJESHI lakini kwa kuwa MAJIRA na NYAKATI havikuwa upande wao, waliachia Tanganyika mikononi mwa wazawa....

Vivyo hivyo ktk chaguzi hizi za sasa barani Afrika Tanzania ikiwemo, chochote chaweza kutokea...

Malawi juzi imetokea. Why not Tanzania?....Wait and see...
kiasi fulani nakubaliana na wewe ila kwa tz hilo bado lipo mbali sana
hasa ukiitazama ile mihimili
kuanzia bunge mahakama polisi jeshi tume ya uchaguzi mh!!! unatokea wapi huo upinzani
labda jumuiya za kimataifa ziingilie kati
mfano tazama znz tu
walitamka hawaitoi kwa makatasi na kweli haikutoka
 
Naishi moja ya mikoa iliyoko kanda ya ziwa Victoria. Mambo hayako kama mnavyofikiri...

Kanda ya Ziwa maana yake ni mikoa ya;
å Mwanza
å Kagera
å Geita
å Mara
å Simiyu
å Shinyanga

Kwa kabila Jiwe haieleweki ni kabila gani. Wengine wanasema msukuma, wengine wanasema ni jamii ya Warundi ama Wanyarwanda...

Shinyanga, Simiyu na Mwanza mainly ni kabila la jamii ya wasukuma. Si wote wanamkubali. Wengi tu wameumia chini ya utawala wake. Wengi wanaisoma namba. Hana uhakika wa kura zote. Lazima zigawanyike. Lazima ashawishi watu kwanini apewe muhula mwingine tens. Nasaba yake haina nafasi kwenye maisha ya watu...

Mara si mkoa wa wasukuma huo. Mainly ni Wakurya, Wajita na makabila mengine madogodogo. Huko kwa uhakika kabisa hana uhakikisho wa kura hata nusu tu. Kupata kura ni mpaka ajibu maswali ya kwanini anadhani anastahili apewe muhula mwingine. Lazima ashawishi watu kwa hoja na kutimizwa kwa ahadi zake mwaka 2015 vinginevyo hana kazi tena huyu. Hastahili muhula mwingine....

Kagera sio mkoa wa wasukuma. Huko wengi ni Wahaya. Hana nafasi katika mioyo ya wahaya. Hana uhakika wa kura japo ingalao kwa 50%. Anahitaji kushawishi watu ili wampe kura. Hatakwenda kuchukua kura kwenye kisahani....

Mkoa pekee anaoweza kupewa kura ingalao kwa 30% ni Geita nyumbani kwake. Kwingine kote huku kanda yq ziwa Victoria, anapaswa kushawishi watu na kujibu maswali na hoja za watu bila ya hiyana...
Hili la kujibu maswali na hoja litakuwa jipya. Kuna midahalo?
 
Kanda ya ziwa ni ya Magufuli Mwanza, Shinyanga, Kagera, Mara na Tabora na Simiyu.

Membe anachukua mikoa ya kusini ya walima korosho Lindi, Ruvuma, Mtwara, kwa msaada na nguvu ya Zitto Kabwe Membe atainyakua Kigoma.

Chadema watajitoa ktk kusimamisha mgombea, hivyo Membe ataichukua Kilimanjaro, Arusha kwa msaada wa Mbowe.

Kwa pemba , Tanga na unguja Maalim Seifu atamaliza game mapema kumsaidia Membe .

Kete kubwa itakuwa kuwin kura za Mbeya, Iringa, Morogoro, Singida, Dsm , Pwani, Rukwa, Katavi hizi ni kanda huru kwa kila mgombea.

Point of debate itakuwa suala la ajira kwa vijana wa chuo kikuu na wakulima wa mazao ya biashara.

Upande mwingine utanadi miradi yake.

Note. Udini, ukanda na ukabila kwa sasa ni jambo la kawaida
Ya kusadikika hayo! Membe na zito labda watachukua mkeo tu, Hana ubavu was kuchukua hata kitongoji kimoja! Magu ndio mpango mzima!
 
upinzani kushinda ni jambo moja na kupewa huo ushindi ni swala jingine
Hilo la kushinda Membe au mgombea wa Chadema au kushirikiana sitalisema sasa hivi, lakini kuhusu mshindi kutotangazwa eti kwa ubabe wa dola au wizi safari hii itakuwa ngimu sana.
Tanzania inatazamwa kwa jicho la darubiri kuliko wakati mwingine wowote na jumuia za kimataifa.
Iko kama inategewa ijichanganye ifanyiwe jambo isilotegemea.
Na picha inaonekana kuwa katika kampeni huru Magufuli atagaragazwa vibaya kwani hataweza counter attack. Ameshazoea jukwaa huru la kujisifu tuu kwa miaka mitano na anayojisifu yamekifu sasa na hata akisi maisha ya kawaida ya wananchi wapiga kura.
Na pia kwa sasa hana team ya watu wenye ushawishi itakayo zunguka kumnadi, wote amewajeruhi na wamemtenga kiaina. Hawa Bashiru au Polepole nani wanaweza kumshawishi jambo?
 
Kama Udini na ukanda ni kawaida, jiwe anaweza kushinda maana kanda ya ziwa itambeba. Population ya kule si kidogo. Wale wanaweza wakachagua rais na sisi tukabaki tunatoa mimacho tu. Na kama mambo ya ukanda ni kawaida. Basi huwezi kuona kuna kanda zinaweza kugoma? Mfano inawezekana kabisa marais wakawa wanatokea huko tu kwasababu ya wingi wa wananchi wa huko.
Mkuu jmushi1 jambo moja ambalo wengi hawalifahamu kuhusu kanda ya Ziwa ni kuwa labda tamba yake itakuwa Mwanza, Shinyanga na Simiyu. Lakini Kagera na Geita sio kabisa.
Magu hawamkubali kwao, ndio maana unaona Chadema inamsumbua sana Chato na Geita kwa ujumla. Kagera ndio usiseme, kura halali hawezi pata zaidi ya 30% (za kweli).
Mara nayo sio mahali pa kuchota kura kirahisi.
 
Kanda ya ziwa ni ya Magufuli Mwanza, Shinyanga, Kagera, Mara na Tabora na Simiyu.

Membe anachukua mikoa ya kusini ya walima korosho Lindi, Ruvuma, Mtwara, kwa msaada na nguvu ya Zitto Kabwe Membe atainyakua Kigoma.

Chadema watajitoa ktk kusimamisha mgombea, hivyo Membe ataichukua Kilimanjaro, Arusha kwa msaada wa Mbowe.

Kwa pemba , Tanga na unguja Maalim Seifu atamaliza game mapema kumsaidia Membe .

Kete kubwa itakuwa kuwin kura za Mbeya, Iringa, Morogoro, Singida, Dsm , Pwani, Rukwa, Katavi hizi ni kanda huru kwa kila mgombea.

Point of debate itakuwa suala la ajira kwa vijana wa chuo kikuu na wakulima wa mazao ya biashara.

Upande mwingine utanadi miradi yake.

Note. Udini, ukanda na ukabila kwa sasa ni jambo la kawaida
Zitto Kabwe kweli ni bwabw.. Hivi unaandika upuuzi huu nchini Tanzania wakati kwenu Watanzania tulikuwa tunawaombea roho chafu ya Ukanda, Udini, Ukabila iishe na tuliomba kabla na baada ya Uchaguzi amani itawale Burundi. Who you Zitto, Mbona Pep..
Kama unajiamini Gombea Kigoma Mjini tena, ili ujue Watu walivyokuchoka.
Saizi unahaha namna ya kushawishi ili kuungwa Mkono na Wazee, Mashehe na Wafadhili wako , Na Mpaka sasa huelewi utagombea Ubunge wapi maana Urais umekushinda.
 
Kanda ya ziwa ni ya Magufuli Mwanza, Shinyanga, Kagera, Mara na Tabora na Simiyu.

Membe anachukua mikoa ya kusini ya walima korosho Lindi, Ruvuma, Mtwara, kwa msaada na nguvu ya Zitto Kabwe Membe atainyakua Kigoma.

Chadema watajitoa ktk kusimamisha mgombea, hivyo Membe ataichukua Kilimanjaro, Arusha kwa msaada wa Mbowe.

Kwa pemba , Tanga na unguja Maalim Seifu atamaliza game mapema kumsaidia Membe .

Kete kubwa itakuwa kuwin kura za Mbeya, Iringa, Morogoro, Singida, Dsm , Pwani, Rukwa, Katavi hizi ni kanda huru kwa kila mgombea.

Point of debate itakuwa suala la ajira kwa vijana wa chuo kikuu na wakulima wa mazao ya biashara.

Upande mwingine utanadi miradi yake.

Note. Udini, ukanda na ukabila kwa sasa ni jambo la kawaida
si wa huku ndo twajua umaarufu wwa membe Hana umaarufu wowote
 
Watanzania mnajitahidi sana kuchochea udini ukabila na ukanda ipo siku maombi yenu yatalipa. hamjifunzi toka Kenya tu? Maraisi wote waliopita sijaona kipindi ambapo Raisi alichakugilwa kikanda naona wote wanapigiwa sawa tu. Acheni ubaguzi wa kitoto mnatakiwa kukemea ubaguzi sio kuchochea shubaaaaaaaaaaamit.

Na huyo Membe kama alishindwa pita kwenye mchujo wa CCM atawezaje kupata kura za urais ebu amkeni kumekucha uchaguzi kesho kutwa na hamjapata mgombea strong wa kuwakilisha upinzani.

Hiki ndo kinawamaliza CHADEMA na vyama vingine vya upinzani. na ndio sababu CCM itatawala muda mrefu Mgombea mnamandaa miez 2 kabla ya uchaguzi kweli?
 
Kanda ya ziwa ni ya Magufuli Mwanza, Shinyanga, Kagera, Mara na Tabora na Simiyu.

Membe anachukua mikoa ya kusini ya walima korosho Lindi, Ruvuma, Mtwara, kwa msaada na nguvu ya Zitto Kabwe Membe atainyakua Kigoma.

Chadema watajitoa ktk kusimamisha mgombea, hivyo Membe ataichukua Kilimanjaro, Arusha kwa msaada wa Mbowe.

Kwa pemba , Tanga na unguja Maalim Seifu atamaliza game mapema kumsaidia Membe .

Kete kubwa itakuwa kuwin kura za Mbeya, Iringa, Morogoro, Singida, Dsm , Pwani, Rukwa, Katavi hizi ni kanda huru kwa kila mgombea.

Point of debate itakuwa suala la ajira kwa vijana wa chuo kikuu na wakulima wa mazao ya biashara.

Upande mwingine utanadi miradi yake.

Note. Udini, ukanda na ukabila kwa sasa ni jambo la kawaida
Any one thinking about Membe even getting 5% is not serious. First of all he is likes praise. He conned diaspora that he is going to make sure Tanzanians in diaspora get dual citizenship but all was lies. He never even managed to bring the idea to Bunge. The guy is unknown and has done nothing to help people in the south. The south has been in serious problems until Magufuli and his prime minister came to power. I bet the most votes Membe will get is 2% of all the votes. You may not like Magufuli for whatever reasons but there is no way he is not going to be elected the president.
 
Back
Top Bottom