Tuache utani TTCL hawako serious kwenye biashara ya internet

TTCL sihami na mitandao mingine internet hawanipati tena. Tangu nipate hiki kidubwasha maisha yamekuwa rahisi sana kuanzia nyumbani hadi ofisini!

IMG_20211006_103849.jpg
 
Kwa kweli mimi nimeinua mikono kwa internet ya TTCL. Ni internet ya hovyo sijawahi kuona.

Kuna mtu aliwahi kuandika humu kwamba mshikaji wake anaishi Tabata, anatumia mtandao wa TTCL, akilalia ubavu wa kulia anapata mtandao ila akibadilisha akalala ubavu aa kushoto ama akalala chali hakuna mtandao watu tukafikiri utani, mimi sasa nimeamini.

January mwaka huu nilipewa simu ya ofisi na line TTCL ili kurahisisha shughuli za ofisi, kila mwezi wanaweka salio kubwa tu la kufanyia mawasiliano.

Toka nimeanza kutumia hii laini hasa upande wa internet ni majanga, na mbaya zaidi ofisi zetu ziko mjini city centre lakini TTCL internet yake ni hovyo sijawahi kuona. Unaweza kukaa nusu saa au zaidi haipo kabisa, ila ikija dakika 2 inakuja kwa spidi kali sana kisha inatoweka nusu saa tena.

Muda mwingi mtandao wa TTCL haupatikani. Wakati mwingine natumia simu yangu nyingine kuweka hotpot kuunganisha na hii simu yenye laini ya TTCL ili niwe hewani niendelee kufanya mambo yangu wakati TTCL nina ma GB ya kutosha mengi sana.

TTCL wakileta ile option ya kuhamisha salio la kawaida kwenda mtandao mwingine, hela itakua ikiingia tu naihamishia mtandao mwingine, huu labda voice calls tu ila internet intakufedhehesha tu.

TTCL kuweni serious na business.
Nilitaka nikasajili laini yao sasa umenikatisha tamaa mazima
 
Kwa kweli mimi nimeinua mikono kwa internet ya TTCL. Ni internet ya hovyo sijawahi kuona.

Kuna mtu aliwahi kuandika humu kwamba mshikaji wake anaishi Tabata, anatumia mtandao wa TTCL, akilalia ubavu wa kulia anapata mtandao ila akibadilisha akalala ubavu aa kushoto ama akalala chali hakuna mtandao watu tukafikiri utani, mimi sasa nimeamini.

January mwaka huu nilipewa simu ya ofisi na line TTCL ili kurahisisha shughuli za ofisi, kila mwezi wanaweka salio kubwa tu la kufanyia mawasiliano.

Toka nimeanza kutumia hii laini hasa upande wa internet ni majanga, na mbaya zaidi ofisi zetu ziko mjini city centre lakini TTCL internet yake ni hovyo sijawahi kuona. Unaweza kukaa nusu saa au zaidi haipo kabisa, ila ikija dakika 2 inakuja kwa spidi kali sana kisha inatoweka nusu saa tena.

Muda mwingi mtandao wa TTCL haupatikani. Wakati mwingine natumia simu yangu nyingine kuweka hotpot kuunganisha na hii simu yenye laini ya TTCL ili niwe hewani niendelee kufanya mambo yangu wakati TTCL nina ma GB ya kutosha mengi sana.

TTCL wakileta ile option ya kuhamisha salio la kawaida kwenda mtandao mwingine, hela itakua ikiingia tu naihamishia mtandao mwingine, huu labda voice calls tu ila internet intakufedhehesha tu.

TTCL kuweni serious na business.
Hii ndio sababu,TTCL kumejaa vilaza watupu

Screenshot_20211006-090005.png
 
Pole sana kwa changamoto hizo.
Tunaomba namba yako inbox na serial namba za vocha ulizokwangua vibaya ili tufuatilie na kutatua tafadhali.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
Haisaidii. Nilishatoa serial number mara kadhaa. Sikupata msaada wowote. Hili tatizo linamalizwa lini?? Mpaka nawaza kuondoa kabisa katika mtandao ta TTCL.
 
Haisaidii. Nilishatoa serial number mara kadhaa. Sikupata msaada wowote. Hili tatizo linamalizwa lini?? Mpaka nawaza kuondoa kabisa katika mtandao ta TTCL.
Tuma namba wewe kama hutaki nipe vocha hiyo niende ofisini kwao nikamalizane nao
 
Angalia Halotel imekuja juzi tu lkn leo hii, asilimia kubwa ya watanzania wanazo laini za Halotel. Mm mwenyewe ninayo
TTCL ni shirika la kwanza kuanzishwa lkn lipo lipo. Si lifutwe tu.
Ohoo! Dogo, tuombe radhi tafadhali! Tutatema laana sasa hivi!!
 
Kwa kweli mimi nimeinua mikono kwa internet ya TTCL. Ni internet ya hovyo sijawahi kuona.

Kuna mtu aliwahi kuandika humu kwamba mshikaji wake anaishi Tabata, anatumia mtandao wa TTCL, akilalia ubavu wa kulia anapata mtandao ila akibadilisha akalala ubavu aa kushoto ama akalala chali hakuna mtandao watu tukafikiri utani, mimi sasa nimeamini.

January mwaka huu nilipewa simu ya ofisi na line TTCL ili kurahisisha shughuli za ofisi, kila mwezi wanaweka salio kubwa tu la kufanyia mawasiliano.

Toka nimeanza kutumia hii laini hasa upande wa internet ni majanga, na mbaya zaidi ofisi zetu ziko mjini city centre lakini TTCL internet yake ni hovyo sijawahi kuona. Unaweza kukaa nusu saa au zaidi haipo kabisa, ila ikija dakika 2 inakuja kwa spidi kali sana kisha inatoweka nusu saa tena.

Muda mwingi mtandao wa TTCL haupatikani. Wakati mwingine natumia simu yangu nyingine kuweka hotpot kuunganisha na hii simu yenye laini ya TTCL ili niwe hewani niendelee kufanya mambo yangu wakati TTCL nina ma GB ya kutosha mengi sana.

TTCL wakileta ile option ya kuhamisha salio la kawaida kwenda mtandao mwingine, hela itakua ikiingia tu naihamishia mtandao mwingine, huu labda voice calls tu ila internet intakufedhehesha tu.

TTCL kuweni serious na business.
Halafu unaambiwa wao ndio wanawauzia wengine Internet kutoka mkongo wa taifa
Yaani unauza maji halafu kwako una bomba haitoi maji? watu si watafikiri ni hujuma?
 
Back
Top Bottom