Wakuu ukitembelea nchi kama Namibia,Senegal,Botiswana,zambia utagundua kua kufanya biashara Tanzania ni kupoteza muda mana sera ya kodi Tanzania ni mbaya sana,yaani tanzania unalipa kodi ambayo inakata mpaka mtaji,kwa upande wa watumishi nchi za wenzetu ajira ni huduma ya jamii siyo kazi,kwahiyo kodi iko chini sana..
Ukiwa zambia gari ni bei rahisi kuliko tanzania,wakati magari ya zambia yanapita bandari ya tanzania,..hili ni ajabu.
Tanzania ni vyema sasa ifanye mabadiliko ya kodi vinginevyo itajikuta ni nchi zwazwa.
Ukiwa zambia gari ni bei rahisi kuliko tanzania,wakati magari ya zambia yanapita bandari ya tanzania,..hili ni ajabu.
Tanzania ni vyema sasa ifanye mabadiliko ya kodi vinginevyo itajikuta ni nchi zwazwa.