OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,170
- 103,635
Nimepindua nilivyopindua lakini ninekubali huyu jamaa anajua kula na kipofu bila mgogoro wowote.
Japo mwisho wake unaweza kuwa mbaya na wa aibu ila kajitahidi sana. Kwa mda ambao amekula si haba tumpe hongera kijana mwenzetu kwa hili jamani. Yote kutafuta maisha sema yeye kaenda mbali zaidi anatafutia kwa wavuja damu
Kumwita mtu nabii na akaitika sio jambo dogo. Mimi mwenyewe ukiniita nabii lazima nikuzingue maana sanifu zimevuka mipaka,sasa huyu anapata wapi ujasiri wa kuita nabii mbele ya viongozi wa heshima
Japo mwisho wake unaweza kuwa mbaya na wa aibu ila kajitahidi sana. Kwa mda ambao amekula si haba tumpe hongera kijana mwenzetu kwa hili jamani. Yote kutafuta maisha sema yeye kaenda mbali zaidi anatafutia kwa wavuja damu
Kumwita mtu nabii na akaitika sio jambo dogo. Mimi mwenyewe ukiniita nabii lazima nikuzingue maana sanifu zimevuka mipaka,sasa huyu anapata wapi ujasiri wa kuita nabii mbele ya viongozi wa heshima