Tuache utani: Dini ni matendo sio maneno tuu

dickchiller

JF-Expert Member
Apr 30, 2012
1,842
3,139
Kuna baadhi ya watu wameokoka na hawakosi kanisani jumapili na mara nyingine jioni lakini nafsi zao sijui zikoje maana roho mbaya pamoja na kupenda hela kupita kiasi ukiwa mtoaji yeye anakuona bora.

Kwenye mazungumzo utasikia mi mlokole hadi mtu unashang'aa. Jamani dini ni matendo sio maneno . Maana hadi inafurahisha maana matendo yako yanaweza kukupunguzia heshima kuliko kuwa unaongea mi mlokole dini ni matendo kuenda kanisani kila siku huku unachuki, roho mbaya na tamaa ya vitu visivyo vyako ni hatari kwa kweli
 
Alafu watu wenye roho mbaya wengi hupenda kusaidiwa/mtelemko na wajuzi sana wa kumpamba na kumsifia mtu pamoja na unafiki na kujipendekeza.
 
Mlokole ni ndugu yake shetani
Inawezekana maana kuna mtu anazingua halafu anasema mlokole ukiangalia ni mtu mzima kanizidi sana inabidi nicheke hadi nahisi nina hofu ya Mungu nashag'aa yeye imani yake ipo wapi?

Hila tubadirike jamani tuwe na hofu ya Mungu roho mbaya na chuki
 
Back
Top Bottom