USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,895
- 22,659
Ukiwa JamiiForums unaweza kudhani jela za Tanzania zimejaa wamasiasa wa upinzani na wanaharakati wanaopinga Serikali tu kumbe uongo mtupu hawazidi hata 1% ya wafungwa wote ambao hukadiliwa kuwa 36000 hivi nchi nzima .
Leo nilikuwa Segerea kwa shughuli za kawaida nimeona kuna walimu,wajasiriamali,wanajeshi,polisi,wakristo,waislamu,wahindi,wachina,watu wa Ethiopia na Somalia,wastaafu askari magereza,madereva,waadishi wa habari, viongozi wa dini zote, kila aina na kuhakikishiwa hali ipo hivyo Ukonga na jela nyingine nchini. Kiufupi nimeona aina zote za watu humu as sample of all jail
Walioko jela wanawashangaa kusikia eti mtu mmoja hasa wenye majina makubwa anaonewa huruma na jamii bila kujua ukweli kisa anajulikana maana wao wapo kula hakuna anayewapigia kelele waachiwe , kama ni mwanasiasa amekosea acheni aande jela kama ni mwanahabari,mtumishi wa umma au mkulima mwacheni akae jela huko wako kila watu na ndio maana ya jela.
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nilikuwa Segerea kwa shughuli za kawaida nimeona kuna walimu,wajasiriamali,wanajeshi,polisi,wakristo,waislamu,wahindi,wachina,watu wa Ethiopia na Somalia,wastaafu askari magereza,madereva,waadishi wa habari, viongozi wa dini zote, kila aina na kuhakikishiwa hali ipo hivyo Ukonga na jela nyingine nchini. Kiufupi nimeona aina zote za watu humu as sample of all jail
Walioko jela wanawashangaa kusikia eti mtu mmoja hasa wenye majina makubwa anaonewa huruma na jamii bila kujua ukweli kisa anajulikana maana wao wapo kula hakuna anayewapigia kelele waachiwe , kama ni mwanasiasa amekosea acheni aande jela kama ni mwanahabari,mtumishi wa umma au mkulima mwacheni akae jela huko wako kila watu na ndio maana ya jela.
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app