kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
Kuna watu wabishi sana humu, wanamoverrate messi, nakubali anajua lakin Messi haburudishi kama alivyokuwa Gaucho.. Messi yeye anataka matokeo tu, Gaucho alikuwa analeta burudani yaani huku akae Ndanda Cossovo alafu huku akae Gaucho wengi watajaa kwa Gaucho kutokana na uwezo wake wa kuburudisha.
Sidhan kama patatokea wanaojua kuuchezea mpira kama Gaucho.. hawa akina Messi, Ronaldo hawana lolote zaidi ya mbio.. wakipata mpira kama duma hivi mbio golini kwenda kufunga...
Sidhan kama patatokea wanaojua kuuchezea mpira kama Gaucho.. hawa akina Messi, Ronaldo hawana lolote zaidi ya mbio.. wakipata mpira kama duma hivi mbio golini kwenda kufunga...