Kulindwa Author
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 215
- 121
Mfanyakazi wa serikali au wa umma anapoumwa au kuugua anayo hali ya kutibiwa na mwajiri wake, lakini pia anayo haki ya kuamua kujitibu kwa kujipeleka ktk hospital aitakayo.
Tunda lissu alijipeleka Nairobi mwenyewe na amejipeleka ulaya mwenyewe, sasa serikali ifanye nini wakati aliamua kujitibu kwa gharama zake!
Ilipaswa serikali ndiyo iamue apelekwe hospitality IPI na sio yeye aamue.
Acha uwe funzo ijapokuwa tunamuombea apone.
Tunda lissu alijipeleka Nairobi mwenyewe na amejipeleka ulaya mwenyewe, sasa serikali ifanye nini wakati aliamua kujitibu kwa gharama zake!
Ilipaswa serikali ndiyo iamue apelekwe hospitality IPI na sio yeye aamue.
Acha uwe funzo ijapokuwa tunamuombea apone.