Asante sana Mkuu 🤣 🤣 🤣 -NimekuelewaYes Data zilipikwa sana wakati ule, Na sisi ndio tuliokuwa tunaeneza Propaganda Uchumi unakua na Ajira kedekede huku tukifahamu mambo magumu, Tulifahamu vijana wana hali mbaya na elimu wanayopewa haipo OK kupambana na mazingira ya teknolojia
Siasa ni tofauti na uhalisia, Siasa zinaendeshwa na watu wenye nguvu, Kama unapenda kuishi lazima uchague upande wenye usalama na maslahi
Wale wabunge unaowaona sio wote pale wapo kusimamia story za majimbo, Wengine ni chambo wa kusukuma agenda za wafanyabiashara na agenda za mtawala husika kwa wakati huo,
Umeambiwa Nenda kasifie tozo zina leta Maendeleo utampinga aliyekutuma, Hata wewe utajisikiaje mwanao Unamwambia aseme Baba na Mama wanafaa Yeye akasema hawafai, Lazima achague kuhama nyumba au aunge mkono
Unaamini shule za Private zinazidiwa elimu na shule za kata? Propaganda za kutaka watu wa amini shule za kata zina elimu bora
Je? Kuna mtoto wa wanasiasa na mawaziri wanasoma shule za kata
Propaganda Propaganda na hii ni kazi ngumu na hatari sana
Angalia Waziri wa afya na Gwajima yanayotokea sasa, Waziri wa afya alifanya Propaganda ya Covid wakati ule, Asingefanya ingekula kwake, Leo amegeuka. Ndio siasa lazima uchague upande
Tulisema na kupiga kelele kutetea maslahi na nilishaomba msamaha hapa JF
Sent using Jamii Forums mobile app