GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Ni "Shikwambi" au Shinda kwa mbinu zilizoboreshwa na za kisasa zaidi kwa kutekeleza ilani ya ccm kwa kishindo
Tumeshawapiga Shikwambi sasa tunajenga nchi
Ni dhahiri shahiri uchaguzi umekwisha sasa,Sasa ni wakati wa kujenga Taifa na kula mema ya nchi yenye madini na wanayama adimu
Jana nimetoka Dodoma baada ya kushuhudia Jemedari mwenye maono JPM akiapa kuendeleza nchi kwa miaka mitano hakika ilikuwa shangwe na nderemo kubwa kwa sisi wafuasi wa ccm na wapigania chama hapa JF
Yafuatayo ndio yamenifanya niandike haya nitakayoandika ,Hii ni kutokana kwa zaidi ya miaka 20 sijawahi pita Mwananyamala au Manzese Dar es Salaam,Jana Ijumaa niliamua kuingia ndani huko nikajionee maisha ya watu na miundombinu nikiwa natokea Dodoma
Mosi,Hakika ni barabara za lami za kisasa zimetandazwa maeneo yote ya mwananyamala ,Si mwananyamala niliyopita mwaka 2000 yenye tope na uchafu ,Ni mwananyamala mpya na ya kisasa chini ya Jemedari JPM
Pili,Ni full taa au mwanga sehemu zote hii hata baadhi ya mikoa hakuna,Taa zimetandazwa mwananyamala na manzese yote ,JPM ametisha sana kwa hilo
Tatu,Nilipita maeneo ya Mbezi Beach muda wa saa tatu usiku ,Mambo yamebadilika Mbezi Beach iliyopoa ya wakati huo miaka ya 2000 sasa watu kila hatua nne kuna club Hii si Mbezi Beach ya miaka ya 2000 niliyopita,Pub za mziki na kumbi za kula bata za maana sana hii ni baada ya vipato kuongezeka ,Zamani miaka ile Bar kubwa ilikuwa ni Top Garage na Triple 7 .Lakini jana nimejumuika na wana ccm wezangu kula bata kwa bei rahisi na maeneo mazuri na makali sana,Hongera JPM
Lakini kikubwa tukutane 2025 tutashinda kwa kishindo na Shikwambi kuu
Kwa hali hii Chadema itabaki facebook na Twitter
Hapa tunaandaa "Shikwambi" kuu au shinda kwa mbinu za makombora kuliko ya 2020
2025 kutakuwa hakuna kampeni tena wala siasa ni ccm tu
Tumeshawapiga Shikwambi sasa tunajenga nchi
Ni dhahiri shahiri uchaguzi umekwisha sasa,Sasa ni wakati wa kujenga Taifa na kula mema ya nchi yenye madini na wanayama adimu
Jana nimetoka Dodoma baada ya kushuhudia Jemedari mwenye maono JPM akiapa kuendeleza nchi kwa miaka mitano hakika ilikuwa shangwe na nderemo kubwa kwa sisi wafuasi wa ccm na wapigania chama hapa JF
Yafuatayo ndio yamenifanya niandike haya nitakayoandika ,Hii ni kutokana kwa zaidi ya miaka 20 sijawahi pita Mwananyamala au Manzese Dar es Salaam,Jana Ijumaa niliamua kuingia ndani huko nikajionee maisha ya watu na miundombinu nikiwa natokea Dodoma
Mosi,Hakika ni barabara za lami za kisasa zimetandazwa maeneo yote ya mwananyamala ,Si mwananyamala niliyopita mwaka 2000 yenye tope na uchafu ,Ni mwananyamala mpya na ya kisasa chini ya Jemedari JPM
Pili,Ni full taa au mwanga sehemu zote hii hata baadhi ya mikoa hakuna,Taa zimetandazwa mwananyamala na manzese yote ,JPM ametisha sana kwa hilo
Tatu,Nilipita maeneo ya Mbezi Beach muda wa saa tatu usiku ,Mambo yamebadilika Mbezi Beach iliyopoa ya wakati huo miaka ya 2000 sasa watu kila hatua nne kuna club Hii si Mbezi Beach ya miaka ya 2000 niliyopita,Pub za mziki na kumbi za kula bata za maana sana hii ni baada ya vipato kuongezeka ,Zamani miaka ile Bar kubwa ilikuwa ni Top Garage na Triple 7 .Lakini jana nimejumuika na wana ccm wezangu kula bata kwa bei rahisi na maeneo mazuri na makali sana,Hongera JPM
Lakini kikubwa tukutane 2025 tutashinda kwa kishindo na Shikwambi kuu
Kwa hali hii Chadema itabaki facebook na Twitter
Hapa tunaandaa "Shikwambi" kuu au shinda kwa mbinu za makombora kuliko ya 2020
2025 kutakuwa hakuna kampeni tena wala siasa ni ccm tu