NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
Huwa najiulizaga tofauti ya kazi za CIA na FBI ni zipi naomba msaada wana JF
Ni yule mshukiwa wa mabomu .. ebu tupe story halisi.. naiskiaga juu juuMuulize Thomas Lyimo yeye atakupa uhalisia na maana kamili ya hawa FBI. Ama Chenge alivyotiwa nyavuni na vijisenti.
Kwetu sisi faili la kupigwa Lissu zaidi ya Risasi 20 mchna kweupe na tayari limefungwa. Ni watu wasiojuilikanaKuna kipindi nilisoma mtazamo wa mwenajukwaa huku anaitwa Nyani Ngabu kuhusu kesi ya mwanamuziki Robert Kelly ya unyanyasaji wa kingono, jamaa akasema FBI wakikushitaki uwezekano wa wewe kuchomoka ni chini ya 10% sikuamini saana. Akasema uwezekano wa R. Kelly kuchomoka ni mdogo sana sikutilia maanani sana.
Sasa kwa mwezi mzima huu nimekua nikiangalia documentaries za FBI files, kipindi cha matukio ya kihalifu yaliyochunguzwa na FBI na wahalifu kukamatwa, hakika nimeamini wale jamaa wako mbali sana, wako Sayari nyingine kabisa ya uchunguzi.
FBI wanaweza kukuchunguza kwa miaka 17 na mwisho watakukamata tu, ni nafasi ndogo saana watu kunusurika kutiwa nguvuni wakichunguzwa na FBI, wale jamaa wana matukio ya hadi ya miaka ya 30 na jinsi watuhumiwa walivyokamatwa kwa kweli wale jamaa hawafai.
yule alikuwa Mtanzania wa kwanza kupanda ndege na kuingia marekani bila visa jamaa walikuja kumdaka kama kuku. Au yule mzanzibar waliyemuibua Afrika ya kusini anapika jikoni hotel moja. Hawa jamaa hawana uongo nashangaa mtu anatoa mimacho kujidai hatuwezi kushindwa vita.Ni yule mshukiwa wa mabomu .. ebu tupe story halisi.. naiskiaga juu juu
Utani kama huuuu ndio unaomponza Macedemelo Mubyazi wa Jamii Forum na Mwenzake Mike Mushi kuwa na shida akiiambiwa aende akatoe ushaidi wako au apeleke jina lako. Achaa Utani unamuuumiza mmiliki wa Jamii ForumIla mm nilipoiba $27228728b mpaka leo hawajajua n nani alifanya umafia ule
✓Ivi yule Thomas Lyimo wa Tommy Dairy yupo wap? Kimiya sana yuleMuulize Thomas Lyimo yeye atakupa uhalisia na maana kamili ya hawa FBI. Ama Chenge alivyotiwa nyavuni na vijisenti.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Kuna kipindi nilisoma mtazamo wa mwenajukwaa huku anaitwa Nyani Ngabu kuhusu kesi ya mwanamuziki Robert Kelly ya unyanyasaji wa kingono, jamaa akasema FBI wakikushitaki uwezekano wa wewe kuchomoka ni chini ya 10% sikuamini saana. Akasema uwezekano wa R. Kelly kuchomoka ni mdogo sana sikutilia maanani sana.
Sasa kwa mwezi mzima huu nimekua nikiangalia documentaries za FBI files, kipindi cha matukio ya kihalifu yaliyochunguzwa na FBI na wahalifu kukamatwa, hakika nimeamini wale jamaa wako mbali sana, wako Sayari nyingine kabisa ya uchunguzi.
FBI wanaweza kukuchunguza kwa miaka 17 na mwisho watakukamata tu, ni nafasi ndogo saana watu kunusurika kutiwa nguvuni wakichunguzwa na FBI, wale jamaa wana matukio ya hadi ya miaka ya 30 na jinsi watuhumiwa walivyokamatwa kwa kweli wale jamaa hawafai.
Katika Karne hii bado tunatumia mafaili na jarada la kesi! Kulitafuta hilo faili lazima ugharimike kwa vile yamejaa vumbi la miaka sita.Ukienda leo polisi kuuliza file la mwaka 2014 hutalipata maana hata documentation ni shida.
Unanijua.?Utani kama huuuu ndio unaomponza Macedemelo Mubyazi wa Jamii Forum na Mwenzake Mike Mushi kuwa na shida akiiambiwa aende akatoe ushaidi wako au apeleke jina lako. Achaa Utani unamuuumiza mmiliki wa Jamii Forum
Nadhani sirikali ilikataaIkiwezekana waje bongo watutafutie azuory na ben saanane.
Bora Thomas aliponea akaachiwa, wenzie walikufa vifo vya utata tu. Yule mzanzibar akapelekea Guantanamo...amekaa saa akaachiwa free tu.. hata mwezi haukuisha baada ya kuachiwa na bin Laden akauwawa.yule alikuwa Mtanzania wa kwanza kupanda ndege na kuingia marekani bila visa jamaa walikuja kumdaka kama kuku. Au yule mzanzibar waliyemuibua Afrika ya kusini anapika jikoni hotel moja. Hawa jamaa hawana uongo nashangaa mtu anatoa mimacho kujidai hatuwezi kushindwa vita.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
🤣Utani kama huuuu ndio unaomponza Macedemelo Mubyazi wa Jamii Forum na Mwenzake Mike Mushi kuwa na shida akiiambiwa aende akatoe ushaidi wako au apeleke jina lako. Achaa Utani unamuuumiza mmiliki wa Jamii Forum
Kuna hii hapa ya siku nyingi sana lakini bado wanaendelea kuifanyia kaziKuna kipindi nilisoma mtazamo wa mwenajukwaa huku anaitwa Nyani Ngabu kuhusu kesi ya mwanamuziki Robert Kelly ya unyanyasaji wa kingono, jamaa akasema FBI wakikushitaki uwezekano wa wewe kuchomoka ni chini ya 10% sikuamini saana. Akasema uwezekano wa R. Kelly kuchomoka ni mdogo sana sikutilia maanani sana.
Sasa kwa mwezi mzima huu nimekua nikiangalia documentaries za FBI files, kipindi cha matukio ya kihalifu yaliyochunguzwa na FBI na wahalifu kukamatwa, hakika nimeamini wale jamaa wako mbali sana, wako Sayari nyingine kabisa ya uchunguzi.
FBI wanaweza kukuchunguza kwa miaka 17 na mwisho watakukamata tu, ni nafasi ndogo saana watu kunusurika kutiwa nguvuni wakichunguzwa na FBI, wale jamaa wana matukio ya hadi ya miaka ya 30 na jinsi watuhumiwa walivyokamatwa kwa kweli wale jamaa hawafai.
Kuna kipindi nilisoma mtazamo wa mwenajukwaa huku anaitwa Nyani Ngabu kuhusu kesi ya mwanamuziki Robert Kelly ya unyanyasaji wa kingono, jamaa akasema FBI wakikushitaki uwezekano wa wewe kuchomoka ni chini ya 10% sikuamini saana. Akasema uwezekano wa R. Kelly kuchomoka ni mdogo sana sikutilia maanani sana.
Sasa kwa mwezi mzima huu nimekua nikiangalia documentaries za FBI files, kipindi cha matukio ya kihalifu yaliyochunguzwa na FBI na wahalifu kukamatwa, hakika nimeamini wale jamaa wako mbali sana, wako Sayari nyingine kabisa ya uchunguzi.
FBI wanaweza kukuchunguza kwa miaka 17 na mwisho watakukamata tu, ni nafasi ndogo saana watu kunusurika kutiwa nguvuni wakichunguzwa na FBI, wale jamaa wana matukio ya hadi ya miaka ya 30 na jinsi watuhumiwa walivyokamatwa kwa kweli wale jamaa hawafai.
sijawahi kusikia Askari proffessor ama Dr!!?Kule file huwa halifungwi anapoingia mtu mpya anakabidhiwa faili anasoma baade anapitia kuona kama wa nyuma yake alipitwa na baadhi ya vitu.
Tukio lolote linapotokea linalinganishwa na matukio ya nyuma kama kuna mahusiano.
Recruitment process yao ni ya umakini wa hali ya juu pamoja na mafunzo yao huku kwetu wengi wanaoenda vitengo hivyo kiasi kikubwa ni connection