Tuache masihara, idara ya FBI ya Marekani wako Sayari nyingine kwenye mambo ya uchunguzi wa makosa ya jinai

Kuna kipindi nilisoma mtazamo wa mwenajukwaa huku anaitwa Nyani Ngabu kuhusu kesi ya mwanamuziki Robert Kelly ya unyanyasaji wa kingono, jamaa akasema FBI wakikushitaki uwezekano wa wewe kuchomoka ni chini ya 10% sikuamini saana. Akasema uwezekano wa R. Kelly kuchomoka ni mdogo sana sikutilia maanani sana.

Sasa kwa mwezi mzima huu nimekua nikiangalia documentaries za FBI files, kipindi cha matukio ya kihalifu yaliyochunguzwa na FBI na wahalifu kukamatwa, hakika nimeamini wale jamaa wako mbali sana, wako Sayari nyingine kabisa ya uchunguzi.

FBI wanaweza kukuchunguza kwa miaka 17 na mwisho watakukamata tu, ni nafasi ndogo saana watu kunusurika kutiwa nguvuni wakichunguzwa na FBI, wale jamaa wana matukio ya hadi ya miaka ya 30 na jinsi watuhumiwa walivyokamatwa kwa kweli wale jamaa hawafai.
Kwetu sisi faili la kupigwa Lissu zaidi ya Risasi 20 mchna kweupe na tayari limefungwa. Ni watu wasiojuilikana
 
Ni yule mshukiwa wa mabomu .. ebu tupe story halisi.. naiskiaga juu juu
yule alikuwa Mtanzania wa kwanza kupanda ndege na kuingia marekani bila visa jamaa walikuja kumdaka kama kuku. Au yule mzanzibar waliyemuibua Afrika ya kusini anapika jikoni hotel moja. Hawa jamaa hawana uongo nashangaa mtu anatoa mimacho kujidai hatuwezi kushindwa vita.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Kuna kipindi nilisoma mtazamo wa mwenajukwaa huku anaitwa Nyani Ngabu kuhusu kesi ya mwanamuziki Robert Kelly ya unyanyasaji wa kingono, jamaa akasema FBI wakikushitaki uwezekano wa wewe kuchomoka ni chini ya 10% sikuamini saana. Akasema uwezekano wa R. Kelly kuchomoka ni mdogo sana sikutilia maanani sana.

Sasa kwa mwezi mzima huu nimekua nikiangalia documentaries za FBI files, kipindi cha matukio ya kihalifu yaliyochunguzwa na FBI na wahalifu kukamatwa, hakika nimeamini wale jamaa wako mbali sana, wako Sayari nyingine kabisa ya uchunguzi.

FBI wanaweza kukuchunguza kwa miaka 17 na mwisho watakukamata tu, ni nafasi ndogo saana watu kunusurika kutiwa nguvuni wakichunguzwa na FBI, wale jamaa wana matukio ya hadi ya miaka ya 30 na jinsi watuhumiwa walivyokamatwa kwa kweli wale jamaa hawafai.

FBI HAMNA KITU KUNA WALE JAMAA WA SCOTLAND NA MOSSAD NI HATARI MKUU
 
Connection inaharibu sana utenda kazi ofisi nyingi hasa government ndo shida zaidi, Kuna vitengo vinahitaji vipewe wasomi na wenye maadili kwenye jamii, Ila wengi kwenye kazi maalumu wapo kwa kutumia vyeti feki ndo maana ile issue ya vyeti ilitakiwa isibague maana ndo chanzo Cha kuharibu kazi .
 
Utani kama huuuu ndio unaomponza Macedemelo Mubyazi wa Jamii Forum na Mwenzake Mike Mushi kuwa na shida akiiambiwa aende akatoe ushaidi wako au apeleke jina lako. Achaa Utani unamuuumiza mmiliki wa Jamii Forum
Unanijua.?
 
yule alikuwa Mtanzania wa kwanza kupanda ndege na kuingia marekani bila visa jamaa walikuja kumdaka kama kuku. Au yule mzanzibar waliyemuibua Afrika ya kusini anapika jikoni hotel moja. Hawa jamaa hawana uongo nashangaa mtu anatoa mimacho kujidai hatuwezi kushindwa vita.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Bora Thomas aliponea akaachiwa, wenzie walikufa vifo vya utata tu. Yule mzanzibar akapelekea Guantanamo...amekaa saa akaachiwa free tu.. hata mwezi haukuisha baada ya kuachiwa na bin Laden akauwawa.
 
Utani kama huuuu ndio unaomponza Macedemelo Mubyazi wa Jamii Forum na Mwenzake Mike Mushi kuwa na shida akiiambiwa aende akatoe ushaidi wako au apeleke jina lako. Achaa Utani unamuuumiza mmiliki wa Jamii Forum
🤣
 
Kuna kipindi nilisoma mtazamo wa mwenajukwaa huku anaitwa Nyani Ngabu kuhusu kesi ya mwanamuziki Robert Kelly ya unyanyasaji wa kingono, jamaa akasema FBI wakikushitaki uwezekano wa wewe kuchomoka ni chini ya 10% sikuamini saana. Akasema uwezekano wa R. Kelly kuchomoka ni mdogo sana sikutilia maanani sana.

Sasa kwa mwezi mzima huu nimekua nikiangalia documentaries za FBI files, kipindi cha matukio ya kihalifu yaliyochunguzwa na FBI na wahalifu kukamatwa, hakika nimeamini wale jamaa wako mbali sana, wako Sayari nyingine kabisa ya uchunguzi.

FBI wanaweza kukuchunguza kwa miaka 17 na mwisho watakukamata tu, ni nafasi ndogo saana watu kunusurika kutiwa nguvuni wakichunguzwa na FBI, wale jamaa wana matukio ya hadi ya miaka ya 30 na jinsi watuhumiwa walivyokamatwa kwa kweli wale jamaa hawafai.
Kuna hii hapa ya siku nyingi sana lakini bado wanaendelea kuifanyia kazi

 
Kuna kipindi nilisoma mtazamo wa mwenajukwaa huku anaitwa Nyani Ngabu kuhusu kesi ya mwanamuziki Robert Kelly ya unyanyasaji wa kingono, jamaa akasema FBI wakikushitaki uwezekano wa wewe kuchomoka ni chini ya 10% sikuamini saana. Akasema uwezekano wa R. Kelly kuchomoka ni mdogo sana sikutilia maanani sana.

Sasa kwa mwezi mzima huu nimekua nikiangalia documentaries za FBI files, kipindi cha matukio ya kihalifu yaliyochunguzwa na FBI na wahalifu kukamatwa, hakika nimeamini wale jamaa wako mbali sana, wako Sayari nyingine kabisa ya uchunguzi.

FBI wanaweza kukuchunguza kwa miaka 17 na mwisho watakukamata tu, ni nafasi ndogo saana watu kunusurika kutiwa nguvuni wakichunguzwa na FBI, wale jamaa wana matukio ya hadi ya miaka ya 30 na jinsi watuhumiwa walivyokamatwa kwa kweli wale jamaa hawafai.

Hivi yule aliyemuua Padre Zanzibar walimpata?
 
Tunalinganisha taasisi za mataifa yenye miaka 200 ya uhuru vs miaka 50 ya uhuru

Aisee
 
Kule file huwa halifungwi anapoingia mtu mpya anakabidhiwa faili anasoma baade anapitia kuona kama wa nyuma yake alipitwa na baadhi ya vitu.

Tukio lolote linapotokea linalinganishwa na matukio ya nyuma kama kuna mahusiano.

Recruitment process yao ni ya umakini wa hali ya juu pamoja na mafunzo yao huku kwetu wengi wanaoenda vitengo hivyo kiasi kikubwa ni connection
sijawahi kusikia Askari proffessor ama Dr!!?
tz
 
Back
Top Bottom