samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
Ukiangalia mchango wa zaidi ya 70% ya wabunge kwenye bunge letu ukilinganisha mishahara, posho na mafao yao utaona ni kiasi gani bunge linatia hasara Taifa letu. Wakati huu ambao Taifa linaendelea na miradi mikubwa ni vyema Ubunge ukawa ni kujitolea na tukasitisha malipo yote kwa wabunge na baadala yake hela yote ikaenda kuwa nyongeza kwenye Mishahara ya walimu na kuboresha maisha yao.
Mh Rais wetu wanyonge na Mzalendo namba moja ni vyema ukaamua hili haraka ili tuwaokoe walimu wetu na hali ,mbaya walionayo ukilinganisha na msaada mkubwa wanaoutoa, Makada wote wa chama kubwa aka chama tawala CCM ni vyema kwa nguvu yenu mkapigania hili kuonyesha uzalendo wenu na kuwajali wanyonge.
Wale wote tunaounga mkono juhudi tujitahidi na kushirikiana kupigania hili.
Mh Rais wetu wanyonge na Mzalendo namba moja ni vyema ukaamua hili haraka ili tuwaokoe walimu wetu na hali ,mbaya walionayo ukilinganisha na msaada mkubwa wanaoutoa, Makada wote wa chama kubwa aka chama tawala CCM ni vyema kwa nguvu yenu mkapigania hili kuonyesha uzalendo wenu na kuwajali wanyonge.
Wale wote tunaounga mkono juhudi tujitahidi na kushirikiana kupigania hili.