jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Ni vizuri Serikali badala ya kutaka kununua chanjo ya Covid 19 ambayo haijakamilisha hatua muhimu za ufanisi ni vyema ikatoa fedha kwa wanataaluma wetu waliopo nchini wafanye utafiti wa kubuni chanjo ya Ukimwi na Hatimaye Covid 19.
Itasikitisha sana tukiingizwa mkenge wa kununua au kukopeshwa chanjo ambayo ufanisi wake ni mashaka matupu.
Itasikitisha sana tukiingizwa mkenge wa kununua au kukopeshwa chanjo ambayo ufanisi wake ni mashaka matupu.