Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,425
- 85,865
Acha ubishi, kama umeamua kuliita kosa basi libaki kuwa kosa regardless ya status ya mtu au kitu! Hivi mzazi akitukana na mtoto akitukana , tusi linabadilika na kuwa sifa? Kubali umechemka wewe na mtungi wako.Hii video uliyoweka, hawa wanaoimba wana nafasi gani ndani ya CCM, Je kitendo chao kilikuwa endorsed na CCM, au ni rogue elements tu zimeamua kuimba?
Anyway,. makosa mawili hayafanyi kosa lisiwe kosa.
hebu linganisha kosa lifanywe na Baraza kuu zima la Chadema, Mwenyekiti akiwepo, katibu mkuu yupo na mgombea uraisi yupo nao wanashiriki kudistort wimbo wa Taifa.
Yaani Baraza kuu zima la Chadema, mbele ya mwenyekiti, na katibu mkuu wake pamoja na wajumbe wanashiriki kudistort wimbo wa Taifa
Hizi video mbili hazilingani aisee!
Pili, Kamati Kuu ya Chadema na hao CCM walioimba wote wana nafasi sawa kwenye nyama vyao, Ni Wapiga kura labda useme Leo hapa kuwa CCM mna wanachama na "Wanachama"!
Tatu, sikumbuki au pengine sielewi kama kweli Baraza la kuu la Chadema wali-endorse huo ubeti! Wewe ndio unahitaji utulivu mkubwa kwenye kuanzisha na kujibu mada.