Uchaguzi 2020 Tuache kutetea Ujinga: Kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama siyo sahihi

Hii video uliyoweka, hawa wanaoimba wana nafasi gani ndani ya CCM, Je kitendo chao kilikuwa endorsed na CCM, au ni rogue elements tu zimeamua kuimba?

Anyway,. makosa mawili hayafanyi kosa lisiwe kosa.

hebu linganisha kosa lifanywe na Baraza kuu zima la Chadema, Mwenyekiti akiwepo, katibu mkuu yupo na mgombea uraisi yupo nao wanashiriki kudistort wimbo wa Taifa.

Yaani Baraza kuu zima la Chadema, mbele ya mwenyekiti, na katibu mkuu wake pamoja na wajumbe wanashiriki kudistort wimbo wa Taifa

Hizi video mbili hazilingani aisee!
Acha ubishi, kama umeamua kuliita kosa basi libaki kuwa kosa regardless ya status ya mtu au kitu! Hivi mzazi akitukana na mtoto akitukana , tusi linabadilika na kuwa sifa? Kubali umechemka wewe na mtungi wako.

Pili, Kamati Kuu ya Chadema na hao CCM walioimba wote wana nafasi sawa kwenye nyama vyao, Ni Wapiga kura labda useme Leo hapa kuwa CCM mna wanachama na "Wanachama"!

Tatu, sikumbuki au pengine sielewi kama kweli Baraza la kuu la Chadema wali-endorse huo ubeti! Wewe ndio unahitaji utulivu mkubwa kwenye kuanzisha na kujibu mada.
 
Huu wimbo wa Taifa sio sawa na maandiko matakatifu.
Acheni utoto,aliekwambia wimbo wa taifa unabadilishwa kienyeji Ni Nani?badala ya kujikita kwenye Sera mapemaa mnaanza kuingiza Mambo yasio na maana halafu mkishindwa mtasema mmeibiwa
 
Kubadili mifuko ya suti na kuweka bendera kama Kangi Lugora si sahihi

TL kauliza, sheria gani ya nembo za Taifa imevunjwa?

Jaji Mutungi ambaye ni Jaji alipaswa kujua hili.

Nina question sana utartibu unaotumika hasa kupata wateule, mabalozi, majaji n.k.

JokaKuu

..tatizo watu[ccm na msajili] wamekosa hoja za kujadili ndiyo maana wanashughulika na mambo madogo-madogo.

..na mkutano wenyewe vyombo vya habari vilizuiwa kuutangaza hivyo hata wananchi hawakuwa na habari na kilichotokea.

..na hizo nembo za taifa ni kitu gani haswa mpaka tusumbuane kiasi hiki?

.. kuna nchi watu wanavaa CHUPI zina bendera ya taifa na maisha yanakwenda.
 
Tuache kubishana, katiba so ipo? Inasemaje kuhusu nembo za taifa? Wekeni humu tuvisome halafu tuone Nani yupo sawa au la, Kama ccm na CHADEMA watakutwa na hatia, watuombe msamaha watanzania na kufuta hizo distortions zao
 
Siyo cdm hata ccm ndiyo walio anza huo utaratibu
sasa kulikuwa na sababu gani Chadema kuiga upuuzi wa ccm pia kulikuwa na ulazima gani wa lisu kuwajibu ccm,
kwa mantki hiyo basi wameleta mfanano katika hali ya u hasi tena u hasi wa kiwango cha lami kitendo kilichosababisha nyani kulicheka kundule
 
Sheria ipi inakataza
Mmekosa ubunifu mwambieni Sugu awatungie wimbo. Nyie ni wachokozi mnafanya kitu ambacho mnatambua fika serikali haitakaa kimya. Kiki zenu ni too low...mtashindwa kupata wafuasi wenye akili kwa vitu vidogo vya kijinga kama hivi
 
Mmekosa ubunifu mwambieni Sugu awatungie wimbo. Nyie ni wachokozi mnafanya kitu ambacho mnatambua fika serikali haitakaa kimya. Kiki zenu ni too low...mtashindwa kupata wafuasi wenye akili kwa vitu vidogo vya kijinga kama hivi

Bata ndo huwa anaharisha u purumundu kama huu ulioucharaza hapa kwenye kadamnasi
jitafakari tafakari upurumundu wako kabla hujaucharaza hadharani
 
Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.

Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.

Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!

Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.

Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!

Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?

Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.

Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.

Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you

Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo

Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!

Hebu tazama hapa wanavyoimba:

View attachment 1527225
Umesikia pia walichofanya UVCCM? kwenye kuonya huku uisiwaonye Chadema tu hata cccm wamefanya huo ujinga
 
Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.

Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.

Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!

Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.

Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!

Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?

Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.

Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.

Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you

Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo

Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!

Hebu tazama hapa wanavyoimba:

View attachment 1527225
Missile Luna wombo ambao umewekwa uber mmoja na wanaccm! Ushaona au bado??
 
Mkuu hivi hawa UVCCM waliimba wimbo huo kwenye tukio rasmi la chama chao?
Sasa tunaanza rasmi kuhalalisha makosa kutokana na makosa (Does two wrongs make it a right, nowadays?)

Sina majibu sahihi nimeuliza nijifunze.
Acha kuhamisha magoli content ni kubadili maneno ya wimbo haijalishi ni wapi
 
Hii video uliyoweka, hawa wanaoimba wana nafasi gani ndani ya CCM, Je kitendo chao kilikuwa endorsed na CCM, au ni rogue elements tu zimeamua kuimba?

Anyway,. makosa mawili hayafanyi kosa lisiwe kosa.

hebu linganisha kosa lifanywe na Baraza kuu zima la Chadema, Mwenyekiti akiwepo, katibu mkuu yupo na mgombea uraisi yupo nao wanashiriki kudistort wimbo wa Taifa.

Yaani Baraza kuu zima la Chadema, mbele ya mwenyekiti, na katibu mkuu wake pamoja na wajumbe wanashiriki kudistort wimbo wa Taifa

Hizi video mbili hazilingani aisee!
Ulisikia kukemewa kwa ujinga waliofanya?
 
Hapa ni jino kwa jino tu hakuna kuchekeana
sasa kulikuwa na sababu gani Chadema kuiga upuuzi wa ccm pia kulikuwa na ulazima gani wa lisu kuwajibu ccm,
kwa mantki hiyo basi wameleta mfanano katika hali ya u hasi tena u hasi wa kiwango cha lami kitendo kilichosababisha nyani kulicheka kundule
 
kuna mambo yafuatayo

1. Si sahihi Wapinzani kufanya ya hovyo eti. kwa kuwa CCM huwa wanafanya ya hovyo

2. wapinzani ili waheshimike na wakubalike kwa wananchi inabidi wawe humble zaidi, wafanye vitu ambavyo ni modest ili kuvutia umma usiwaone watu wasiofuata taratibu na kuheshimu tunu ambazo tumeshazipokea kuwa ni tunu au alama za taifa.
CCM wanaweza kufanya upuuzi, na wakaweza kujiclear easily kwa sababu wana dola, wana all bullying pulpits za kuweza kutwist matendo yao na kushape public opinion in their favor. Wapinzani hawana hiyo luxury ndiyo maana inabidi wawe exemplary.

3. Makosa mawili hayafanyi kosa moja lisiwe kosa

4. Haifai wapinzani kuwapa CCM ammunition ya kuwaondolea credibility mbele ya wananchi. Matendo kama haya yaweka ukuta baina ya wananchi wazalendo kwa taifa lao ambao wamekua toka nursery school wakiimba wimbo wa Taifa kwa heshima zote. Leo ukireplace Tanzania ukaweka Chadema, wananchi hawa hawawezi kuwa comfortable

5. Ni makosa sana kubase argument za "mbona na CCM. hivi, au mbona CCM vile", hizo hazisaidii wapinzani. Ni tofauti sana vijana wa Temeke wasio na uongozi katika chama chochote cha siasa kufanya jambo fulani baya na Baraza kuu la Chadema kufanya jambo hilohilo tofauti yake ni mbingu na ardhi!
Issue ni kuhalifu wimbo hizi povu mbona hazikumwagika ccm walipofanya huo ujinga
 
Ulisikia kukemewa kwa ujinga waliofanya?
Huyo ni kati ya watu walio kwisha kuwa mali ya ACT hivyo anajitahidi kueneza chuki dhidi ya cdm, ili ACT iwe mbadala wa cdm lkn naona kila ukijaribu anagonga mwamba.
 
Back
Top Bottom