Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,753
- 16,743
Ni kweli mkuu mimi niliumia mara 3 lakini sasa nimekuwa sugu ile balaaHujabananishwa kwenye kona
Lazima ulie mara ya pili na ya tatu ndipo uote usugu
Ni kweli mkuu mimi niliumia mara 3 lakini sasa nimekuwa sugu ile balaaHujabananishwa kwenye kona
Lazima ulie mara ya pili na ya tatu ndipo uote usugu
Hii hatua ya kulia kila mtu lazima apitie ila ikifikia kipindi unakuwa sugu hakuna tena kulia.Tena inakera kumpenda asiyejitambua ila maisha lazima yasonge mbele iwe kwa kulia au kutolia
Umejibu vyema sana mkuu, sijui nikutigo-pesa!? Ni kwel mazoea ndo humiza, hulili papuchi/dushe maana ukihitaji same day unapata, ila kufkr kuw utafte mtu mwngne had uje umzoee ndo kulia kunaanzia hapo.tunalia sababu ya mazoea
ha ha ha kutigo -pesa?Umejibu vyema sana mkuu, sijui nikutigo-pesa!? Ni kwel mazoea ndo humiza, hulili papuchi/dushe maana ukihitaji same day unapata, ila kufkr kuw utafte mtu mwngne had uje umzoee ndo kulia kunaanzia hapo.
hahahaa hiyo ni ngumu kutokeaHujabananishwa kwenye kona
Lazima ulie mara ya pili na ya tatu ndipo uote usugu
kakaa yangu mie kwenye ubora wakoSasa maisha bila mapenzi (upendo) yataenda kweli ipasavyo??
NB; Mimi sio mliaji..
Ubora upi tena dadakakaa yangu mie kwenye ubora wako
Hahahaaaa,,,,,,,,take it easyboss siku ya kwanza kuichungulia dunia tu nililia sembuse kumzoea mtu kwa mara ya kwanza?
napo nimelia mara moja zengine ni kama nimekamuliwa kahawa machoni.
Siumesema wewe hauliagiUbora upi tena dada
Kweli Dada ndio hivyoSiumesema wewe hauliagi
Hahaa nitakufama tuuKweli Dada ndio hivyo
Hahahaha si mpaka sasaHahaa nitakufama tuu
Kwani mpk ulie nitakukuta umejiinami, umelewa, chakula kitakuwa hakina ladhaa siyo mpk ulie bwana usiku kazi yako wwe kuhesabu mabatiHahahaha si mpaka sasa
Aaaa weee haiwezekani nilie tu hivi hivi ?Kwani mpk ulie nitakukuta umejiinami, umelewa, chakula kitakuwa hakina ladhaa siyo mpk ulie bwana usiku kazi yako wwe kuhesabu mabati
Hivyo hivyoo kuachwa kubayaAaaa weee haiwezekani nilie tu hivi hivi ?