Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,794
- 71,212
Watu wanashindwa kusimama na kutatua tatizo kwa undani kwa vile sifa ya kutumbuana imeshika kasi.Halafu kuna hukumu
Halafu kuna tuzo nyingine ya 55billion inahusu magari ya kijeshi alishinda mhindi fulani nimemsahau jina.
Naye nadhani karibu anakamata dreamliner yetu huko India
Watu wanaambiana makazini kuwa ikifika ijumaa ukiondoka ofisini usiache kitu maana jumatatu waweza kukuta mtu mwingine ana ofisi yako.