Mungu na Roho wake wanajifunua na kujithibitisha wenyewe kwa kazi wanazotenda ikiwa ni pamoja na uumbaji. Hivi ulishawahi hata kujiuliza origin ya binadamu kwamba alitokea tu by chance, au kuna Mungu Mkuu ambaye alihusika katika uumbaji wa binadamu na viumbe wengine? kwa hiyo wewe mwenyewe jinsi ulivyoumbwa kwa namna ya ajabu kabisa ni uthibitisho tosha wa uwepo wa Mungu...Unajuaje mtu anapokufa "kukata roho" si msemo tu wa kuelezea kwamba huyu hayuko hai tena?
Unaweza kuthibitisha hiyo roho ipo kweli?
Unaelewa kwamba mpaka sasa hujathibitisha Mungu yupo wala roho ipo?