Tuache kudanganya watanzania na pima joto kama za kina Maggid Mjengwa

Gokona

Member
Feb 16, 2010
62
9
Ndugu zangu kamwe Tanzania haitapiga hatua kama wale wanaojiita wafikishaji taarifa kwa wananchi watafanya hivyo kwa ushabiki.

Nimeona niliseme hili hasa kwa huyu ndugu yangu Mjengwa na pima joto yake feki tena yenye chembechembe za ukanda,ubaguzi na uchochezi maana Igunga hachaguliwi Rais wa Tanzania ila kinachofanyika igunga ni uchaguzi wa Mbunge sasa tuwaachie wana igunga ndio wanaojua chama gani kina maslahi kwao na chama gani kina taka nafasi hiyo kwa ajili ya ushabiki na si kwa maslahi yao.

Sasa pima joto kama wanaopiga kura ni wa njombe, tarime, Arusha, Pemba, Mwanakwerekwe, Mchamba wima au Dole unaweza ukajiita wewe unafanya tafiti au ni akili mbaya ya kishabiki/ Tena mtu mzima anaendelea kusema kama CUF ingewaachia CHADEMA ingekuwa safi ili CCM apate wakati mgumu sasa mimi nasema kamwe huwezi kumnyonyoa jogoo manyoya ya kwenye mabawa yake na kumfunga miguu ukasema umemficha maana atawika na watu watajua pale pana jogoo kawekwa.

Mjengwa na watu wa aina yake ni wauwaji wa demokrasia maana CHADEMA ni chama cha siasa kama vingine na ndio maana vinapata ruzuku ili wakati wa uchaguzi vishiriki na vishinde ili viunde serikali sasa wewe unataka CHADEMA ole wako na subiri kwa unavyojidanganya 2015 UNAPOTAKA KUCHUKUA FORM UGOMBEEUBUNGE SASA KWENYE ZA KURA ZA MAONI ZA CHADEMAkama hujaambiwa hapa kawe ni kwa MDEE,UBUNGO kwa MNYIKA,KIGOMA KWA ZITO,HAI KWA MBOWE,ndio peoples power utaijua nenda kaulize Uchaguzi wa CDM KILIMANJARO KWANI WALIOPO NI KINA NDESA PEKE YAO HAKUNA WENGINE?

MBONA MWALIMU HAKUWAWEKA KINA JOSEPH NYERERE KWENYE NAFASI ZA CHAMA WAKAWEPO KINA AMIR JAMAL? AKILI KUMKICHWA.

NA SASA TUNAPATA MAJIBU MAANA WATU WANAPANIA MAMLAKA NA SIO NIA NJEMA KWA TAIFA MAANA HATA DAVID BEKHAM AKITOKA UWANJANI ANAVUA JEZI NA AKIALIKWA HARUSINI ANAVAA MAVAZI YANAYOTAKIWA NA YANAYOENDANA NA MAHALI SASA UKISHAPANIA JAMBO ndio kama wanavyofanya.TUMESHAWAELEWA TUTAFANYA MASAHIHISHO TU.
 
Pole mkuu, Najua kunyang`anywa tonge mdomoni kunauma sana, Umekuwa kama huelewi kitu kabisa, Alichofanya Mgengwa ni KIPIMA JOTO narudia KIPIMA JOTO, Sio lazima ufanye kipima joto pale tu unapokuwa mpiga kura wa pale. Katika nchi za wenzetu hicho ni kitu muhimu sana maana ni mara chache sana kubadilika. Kama wewe ni mdau kafunge mkanda utafute pa kutokea maana kengele ishalia
 
Ndugu zangu kamwe Tanzania haitapiga hatua kama wale wanaojiita wafikishaji taarifa kwa wananchi watafanya hivyo kwa ushabiki.

Nimeona niliseme hili hasa kwa huyu ndugu yangu Mjengwa na pima joto yake feki tena yenye chembechembe za ukanda,ubaguzi na uchochezi maana Igunga hachaguliwi Rais wa Tanzania ila kinachofanyika igunga ni uchaguzi wa Mbunge sasa tuwaachie wana igunga ndio wanaojua chama gani kina maslahi kwao na chama gani kina taka nafasi hiyo kwa ajili ya ushabiki na si kwa maslahi yao.

Sasa pima joto kama wanaopiga kura ni wa njombe, tarime, Arusha, Pemba, Mwanakwerekwe, Mchamba wima au Dole unaweza ukajiita wewe unafanya tafiti au ni akili mbaya ya kishabiki/ Tena mtu mzima anaendelea kusema kama CUF ingewaachia CHADEMA ingekuwa safi ili CCM apate wakati mgumu sasa mimi nasema kamwe huwezi kumnyonyoa jogoo manyoya ya kwenye mabawa yake na kumfunga miguu ukasema umemficha maana atawika na watu watajua pale pana jogoo kawekwa.

Mjengwa na watu wa aina yake ni wauwaji wa demokrasia maana CHADEMA ni chama cha siasa kama vingine na ndio maana vinapata ruzuku ili wakati wa uchaguzi vishiriki na vishinde ili viunde serikali sasa wewe unataka CHADEMA ole wako na subiri kwa unavyojidanganya 2015 UNAPOTAKA KUCHUKUA FORM UGOMBEEUBUNGE SASA KWENYE ZA KURA ZA MAONI ZA CHADEMAkama hujaambiwa hapa kawe ni kwa MDEE,UBUNGO kwa MNYIKA,KIGOMA KWA ZITO,HAI KWA MBOWE,ndio peoples power utaijua nenda kaulize Uchaguzi wa CDM KILIMANJARO KWANI WALIOPO NI KINA NDESA PEKE YAO HAKUNA WENGINE?

MBONA MWALIMU HAKUWAWEKA KINA JOSEPH NYERERE KWENYE NAFASI ZA CHAMA WAKAWEPO KINA AMIR JAMAL? AKILI KUMKICHWA.

NA SASA TUNAPATA MAJIBU MAANA WATU WANAPANIA MAMLAKA NA SIO NIA NJEMA KWA TAIFA MAANA HATA DAVID BEKHAM AKITOKA UWANJANI ANAVUA JEZI NA AKIALIKWA HARUSINI ANAVAA MAVAZI YANAYOTAKIWA NA YANAYOENDANA NA MAHALI SASA UKISHAPANIA JAMBO ndio kama wanavyofanya.TUMESHAWAELEWA TUTAFANYA MASAHIHISHO TU.
Naomba utuelezee kwa kifupi hadithi yako inazungumzia nini hasa.
Yani mi naona maneno yanapiga tu sarakasi na kukanyagana.kama huna cha kuandika kaa kimya.
 
Pole sana! inaonekana uwezo wako wa kupembua mambo si mpana sana kufahamu Mjengwa alikuwa ana maana gani! Nadhani ungemuuliza swali alikuwa ana maana gani, ingekuwa vyema kabla ya kuanza kujidhalilisha hapa jamvini.
 
Ndugu zangu kamwe Tanzania haitapiga hatua kama wale wanaojiita wafikishaji taarifa kwa wananchi watafanya hivyo kwa ushabiki.

Nimeona niliseme hili hasa kwa huyu ndugu yangu Mjengwa na pima joto yake feki tena yenye chembechembe za ukanda,ubaguzi na uchochezi maana Igunga hachaguliwi Rais wa Tanzania ila kinachofanyika igunga ni uchaguzi wa Mbunge sasa tuwaachie wana igunga ndio wanaojua chama gani kina maslahi kwao na chama gani kina taka nafasi hiyo kwa ajili ya ushabiki na si kwa maslahi yao.

Sasa pima joto kama wanaopiga kura ni wa njombe, tarime, Arusha, Pemba, Mwanakwerekwe, Mchamba wima au Dole unaweza ukajiita wewe unafanya tafiti au ni akili mbaya ya kishabiki/ Tena mtu mzima anaendelea kusema kama CUF ingewaachia CHADEMA ingekuwa safi ili CCM apate wakati mgumu sasa mimi nasema kamwe huwezi kumnyonyoa jogoo manyoya ya kwenye mabawa yake na kumfunga miguu ukasema umemficha maana atawika na watu watajua pale pana jogoo kawekwa.

Mjengwa na watu wa aina yake ni wauwaji wa demokrasia maana CHADEMA ni chama cha siasa kama vingine na ndio maana vinapata ruzuku ili wakati wa uchaguzi vishiriki na vishinde ili viunde serikali sasa wewe unataka CHADEMA ole wako na subiri kwa unavyojidanganya 2015 UNAPOTAKA KUCHUKUA FORM UGOMBEEUBUNGE SASA KWENYE ZA KURA ZA MAONI ZA CHADEMAkama hujaambiwa hapa kawe ni kwa MDEE,UBUNGO kwa MNYIKA,KIGOMA KWA ZITO,HAI KWA MBOWE,ndio peoples power utaijua nenda kaulize Uchaguzi wa CDM KILIMANJARO KWANI WALIOPO NI KINA NDESA PEKE YAO HAKUNA WENGINE?

MBONA MWALIMU HAKUWAWEKA KINA JOSEPH NYERERE KWENYE NAFASI ZA CHAMA WAKAWEPO KINA AMIR JAMAL? AKILI KUMKICHWA.

NA SASA TUNAPATA MAJIBU MAANA WATU WANAPANIA MAMLAKA NA SIO NIA NJEMA KWA TAIFA MAANA HATA DAVID BEKHAM AKITOKA UWANJANI ANAVUA JEZI NA AKIALIKWA HARUSINI ANAVAA MAVAZI YANAYOTAKIWA NA YANAYOENDANA NA MAHALI SASA UKISHAPANIA JAMBO ndio kama wanavyofanya.TUMESHAWAELEWA TUTAFANYA MASAHIHISHO TU.

Nakushauri uvute pumzi na kutoa kama mara tatu hivi. Baadaye tulia kama dakika tano hivi kisha uandike upya. Kwani kwa jinsi ulivyoandika hujaitendea haki thread yako kwani ni vigumu sana kujua hasa ni ujumbe gani ulilenga kuufikisha.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom