Huyu ukiacha tukio lake la kuchapa viboko (tena watoto wa shule) hamna sehemu record ya matukio yake ni njema tu kwa kuwa hakuwa mtu wa visa visa.
Yeye anamaliza hapo hapo halafu kwa hekima zenye utani ndani yake. Roho yake ilikuwa ni nzuri tu na alizicheza vema siasa za mkoa huo.
Huyu mimi kupewa Mwanza ninaona anstahili kabisa kabisa - Watanzania tumpe mud an tuwe positive naye.
Yule aliyekuwa Iringa sijui bwana Hapi labda ndiyo ninaweza kutamka wazi inabidi ajilinde na kutunza hadhi yake kwa kuwa kiongozi mjifunzi na mwenye ushawishi hasi Zaidi! Ila Chalamila kwa kweli anastahili!
Yeye anamaliza hapo hapo halafu kwa hekima zenye utani ndani yake. Roho yake ilikuwa ni nzuri tu na alizicheza vema siasa za mkoa huo.
Huyu mimi kupewa Mwanza ninaona anstahili kabisa kabisa - Watanzania tumpe mud an tuwe positive naye.
Yule aliyekuwa Iringa sijui bwana Hapi labda ndiyo ninaweza kutamka wazi inabidi ajilinde na kutunza hadhi yake kwa kuwa kiongozi mjifunzi na mwenye ushawishi hasi Zaidi! Ila Chalamila kwa kweli anastahili!