respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,557
- 3,835
Wakuu
kwa wiki mbili sasa hapa jukwaani kumekuwa na mada mfululizo zinazo husiana na cdm vs zito,binafsi nadhani umefika muda tuachane na ushabiki wa kisiasa badala yake tujadiri mambo yanayolisumbua taifa kama,
kupanda kwa gharama ya umeme na sasa kuahirishwa kwa mara nyingine tena kutolewa kwa rasimu ya pili ya katiba.inavyo onyesha watu hawana uchungu na walala hoi wa taifa hili hivyo kujifungia na kutoka na aamuzi yanayo mkandamiza zaidi mnyonge
nawasilisha
kwa wiki mbili sasa hapa jukwaani kumekuwa na mada mfululizo zinazo husiana na cdm vs zito,binafsi nadhani umefika muda tuachane na ushabiki wa kisiasa badala yake tujadiri mambo yanayolisumbua taifa kama,
kupanda kwa gharama ya umeme na sasa kuahirishwa kwa mara nyingine tena kutolewa kwa rasimu ya pili ya katiba.inavyo onyesha watu hawana uchungu na walala hoi wa taifa hili hivyo kujifungia na kutoka na aamuzi yanayo mkandamiza zaidi mnyonge
nawasilisha