Mantombazane
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 572
- 356
Nauliza TTCL kama wamesitisha huduma ya simu za mezani zisizotumia wire hizi CDMA maana ya kwangu naona imekata network kwa muda sasa wakati ilikuwa inanisaidia sana. Ni hii ya kwangu tu au zote? Msaada tafadhali