Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Heri kwenu wakkuu,
Nataka kuweka 24hr free internet access ndani ya vyumba kumi vya wageni, hoteli iko mkoa wa kusini kabisa Tanzania (RUVUMA). Kwa broadband yenye kasi nzuri huku ni TTCL tu. Naombeni msaada kwa wale wanaotumia packets mbalimbali za ttcl, ni packet ipi inaweza kutosha wa matumizi ya kawaida (najua wateja wengine watatumia kufanya downloads kubwa na wengine watatumia kwa browsing na emailing kawaida tu). Je, kasi inayotumika kwa mteja wa package ya 40gb kwa 450,000pm inaweza kulinganishwa vp na mteja wa ded64k anayelipa 450,000pm?
Natanguliza shukrani.
Nataka kuweka 24hr free internet access ndani ya vyumba kumi vya wageni, hoteli iko mkoa wa kusini kabisa Tanzania (RUVUMA). Kwa broadband yenye kasi nzuri huku ni TTCL tu. Naombeni msaada kwa wale wanaotumia packets mbalimbali za ttcl, ni packet ipi inaweza kutosha wa matumizi ya kawaida (najua wateja wengine watatumia kufanya downloads kubwa na wengine watatumia kwa browsing na emailing kawaida tu). Je, kasi inayotumika kwa mteja wa package ya 40gb kwa 450,000pm inaweza kulinganishwa vp na mteja wa ded64k anayelipa 450,000pm?
Natanguliza shukrani.